kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #201
Matusi ndyo kitu pekee mnajua kusema, au ni wivu tu unakusumbua nduguHuyu keshaleft kitambo, kama uamini mwambie aruke kichurachura hafu ww uwe unamtoka nyuma..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi ndyo kitu pekee mnajua kusema, au ni wivu tu unakusumbua nduguHuyu keshaleft kitambo, kama uamini mwambie aruke kichurachura hafu ww uwe unamtoka nyuma..
Tofauti ni niniMwanaume mtanashati na mwanaume handsome ni watu wawili tofauti.
Mtanashati ni mwanaume/mvulana anayejipenda sana.Tofauti ni nini
Hapo nimejua tofauti mkuu, lakini umeeleza vizuri kwamba utanashati ni katika engo ya mavazi tu. Pia inawezekana mtu akawa na vitu vyote hivyo viwiliMtanashati ni mwanaume/mvulana anayejipenda sana.
- anavaa vzr ananukia vzr na kupendeza
Kwa sisi watu wa zamani tunamwita CHECK BOB, au BROTHER MEN..
Utanashati hauhusiani na muonekano wako wa sura nzr..
Unaweza ukawa. Mtanashati lakini sura ya kazi.
Handsome ni mwanaume/mvulana mwenye sura nzr na yakuvutia.
Mtu anaweza akawa handsome lakini sio mtanashati..
mtu anaweza akawa mtanashati lakini asiwe handsome..
Illiteracy rate inauhusiano gani na mada hiiHigh illiteracy rate hapa nchini ni mzigo mkubwa. (Naomba nisawazishe uzi)
Wapo watu wana kila kitu,,Hapo nimejua tofauti mkuu, lakini umeeleza vizuri kwamba utanashati ni katika engo ya mavazi tu. Pia inawezekana mtu akawa na vitu vyote hivyo viwili
Lakini wapo watu ambao hawana hivyo vyote?Wapo watu wana kila kitu,,
- handsome
-mtanashati
-ana pesa
-romantic etc.
Handsome ni hali ambayo unazaliwa nayo.Lakini wapo watu ambao hawana hivyo vyote?
Hobby, fantasy, lifestyle and morever, mimi sijaona shida ya mtoa mada ikiwa yuko jukwaa sahihi na anatoa yake.View attachment 3060437
Haya tafsiri ya Google.
Mtoto wa kiume unatakiwa ujisifie hustling, fighting spirit, fatherhood.
Wewe unajisifia uzuri ndio maana ni kasema,dada zangu wanakazi......
Achana nao maneno ya wakosaji.Matusi ndyo kitu pekee mnajua kusema, au ni wivu tu unakusumbua ndugu
Katika umri wa early 30's ndiyo nimevutika kuwa nadhifu na mtanashati, wakati wa nyuma nilikuwa rough sana.Kuwa nadhifu haichagui umri, yoyote anaweza kuamua kuwa mtanashati katika umri wowote
Katika umri huo wengi ndyo huwa wanapuuza maswala ya unadhifu, kama wewe umezingatia hilo basi hongera sana MkuuKatika umri wa early 30's ndiyo nimevutika kuwa nadhifu na mtanashati, wakati wa nyuma nilikuwa rough sana.
Sio lazima waseme, ila vitendo vyao tu vinaonyesha ni namna gani wananitazama au kuona hiloWewe Ndio unajiona handsome,pole sanaa watu saiv wanashughulika na mikakati Yao.
Nsa sambambaMwanaume mtanashati na mwanaume handsome ni watu wawili tofauti.
Sawa MkuuSio lazima waseme, ila vitendo vyao tu vinaonyesha ni namna gani wananitazama au kuona hilo
Why should I change?Sawa Mkuu
You ‘ve to change
Ufanye vitu vikubwa MkuuWhy should I change?