ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
😂😂nimevionameno je na tabasamu sexy hujaviona 😀 😀
Una mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂nimevionameno je na tabasamu sexy hujaviona 😀 😀
Jitie kovu mkuuNimeamini kuwa mtanashati ni mzigo mkubwa, hasa ukiwa hauna strong financial stability, expectations zinakuwa kubwa kwa watu wanao kuona, wanalinganisha muonekano wako na kipato chako.
Ukiwa umebarikiwa muonekano nadhifu, wengi watadhani hata mfuko wako upo vizuri, huenda unabangaiza na kupata kidogo. Ukazingatia unadhifu na mavazi mazuri yasiyo na gharama, lakini bado watadhani wewe ni pedeshe.
Hayo yote yananikuta mimi, kila sehemu nikienda nakaribishwa kifalme kwa sababu ya muonekano tu, kumbe mfukoni ni mtu wa hali ya kawaida kabisa.
Am tired of this......
Sio kwamba sijipendi namna nilivyo, ila sipendi changamoto ninazo kutana nazoJitie kovu mkuu
Kwanini ulikua unakaa backbencher lakinHahaha sina d mbili za mchezo 😂😂😂
Ili niwatekenye totozi vizuri , ndio maana d mbili zilikataa😂😂😂😂Kwanini ulikua unakaa backbencher lakin
😂😂😂😂 Backbencher for life na likija pepa Mianzi tuIli niwatekenye totozi vizuri , ndio maana d mbili zilikataa😂😂😂😂
Wala haturingi😜😂😂😂😂 Backbencher for life na likija pepa Mianzi tu
Au unakua kama mtoa Uzi? Et😂😂Wala haturingi😜
Hahhaha mimi ni mimi tu 😂Au unakua kama mtoa Uzi? Et😂😂
Nije pm au nikuanzishie tu uzi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣vele mach singo 😀 😀 😀 😀
Nianzishie chapNije pm au nikuanzishie tu uzi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We unaishi katika jamii ya peke yako?, huwaoni huko mtaani?..Sasa umejuwaje mambo kama hayo?
Huyu jamaa bila shaka ana ID zaidi ya moja 😂😂😂😂😂eeeeh
Kwani na ile ni ID yako?
Kama huyu ni handsome basi kila mtu ana tafsiri yake ya nani ni handsome kwakweli.Huyu ndiye kijana handsome ninayemjua, 40 years old
View attachment 3060447
Huyu mimi ndiye ananivutia kwangu ni handsomeKama huyu ni handsome basi kila mtu ana tafsiri yake ya nani ni handsome kwakweli.
Mimi sijajipa hilo jina au hiyo sifa, watu wananiambia hivyo na wakati mwingine sipendi kuambiwa hivyo..Ni wewe ndyo umejipa hilo jina la uhendisamu au watu wamekuambia kwamba wewe ni hendisamu?
Unajua hapa duniani katika zile bahati ambazo wengi huamini kila mmoja ana ya kwake huwenda wewe una bahati ya kupendwa tu na watu regardless of your looking or dressing style. Kwahyo badala ya kuwa na bahati maybe ya kuwa na pesa,nyumba na vitu vingine vya thamani mwenzetu huwenda hyo ndo bahati yako.
Nb.itumie vizuri hyo bahati,ukiitumia vibaya umekwisha.