Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa

Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa

Nimeamini kuwa mtanashati ni mzigo mkubwa, hasa ukiwa hauna strong financial stability, expectations zinakuwa kubwa kwa watu wanao kuona, wanalinganisha muonekano wako na kipato chako.

Ukiwa umebarikiwa muonekano nadhifu, wengi watadhani hata mfuko wako upo vizuri, huenda unabangaiza na kupata kidogo. Ukazingatia unadhifu na mavazi mazuri yasiyo na gharama, lakini bado watadhani wewe ni pedeshe.

Hayo yote yananikuta mimi, kila sehemu nikienda nakaribishwa kifalme kwa sababu ya muonekano tu, kumbe mfukoni ni mtu wa hali ya kawaida kabisa.

Am tired of this......
Jitie kovu mkuu
 
Ni wewe ndyo umejipa hilo jina la uhendisamu au watu wamekuambia kwamba wewe ni hendisamu?

Unajua hapa duniani katika zile bahati ambazo wengi huamini kila mmoja ana ya kwake huwenda wewe una bahati ya kupendwa tu na watu regardless of your looking or dressing style. Kwahyo badala ya kuwa na bahati maybe ya kuwa na pesa,nyumba na vitu vingine vya thamani mwenzetu huwenda hyo ndo bahati yako.

Nb.itumie vizuri hyo bahati,ukiitumia vibaya umekwisha.
 
Ni wewe ndyo umejipa hilo jina la uhendisamu au watu wamekuambia kwamba wewe ni hendisamu?

Unajua hapa duniani katika zile bahati ambazo wengi huamini kila mmoja ana ya kwake huwenda wewe una bahati ya kupendwa tu na watu regardless of your looking or dressing style. Kwahyo badala ya kuwa na bahati maybe ya kuwa na pesa,nyumba na vitu vingine vya thamani mwenzetu huwenda hyo ndo bahati yako.

Nb.itumie vizuri hyo bahati,ukiitumia vibaya umekwisha.
Mimi sijajipa hilo jina au hiyo sifa, watu wananiambia hivyo na wakati mwingine sipendi kuambiwa hivyo..

Lakini najitahidi nisije nikarubunika au kujawa na tamaa kwasababu hii, pia najitahidi kutunza heshima yangu kwa kutobagua au kumkataa mtu..

Kweli yaweza kuwa bahati, lakini napaswa kuwa makini bahati isigeuke mtego ambao utanipoteza.
 
Back
Top Bottom