Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Itabidi muanzishe chama chenu cha mahandsome, mlinde na mtetee haki zenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna haja ya chama, lakini sio vizuri kuwajaji watu kwa muonekano wao kwani sio njia sahihi ya kutabiri kipato cha mtuItabidi muanzishe chama chenu cha mahandsome, mlinde na mtetee haki zenu.
Kuwa nadhifu haichagui umri, yoyote anaweza kuamua kuwa mtanashati katika umri wowoteUkivuka miaka 30 sahau kuhusu u handsome
Huku tunapigania tujue hatma yetu
Lipia tangazoNimeamini kuwa mtanashati ni mzigo mkubwa, hasa ukiwa hauna strong financial stability, expectations zinakuwa kubwa kwa watu wanao kuona, wanalinganisha muonekano wako na kipato chako.
Ukiwa umebarikiwa muonekano nadhifu, wengi watadhani hata mfuko wako upo vizuri, huenda unabangaiza na kupata kidogo. Ukazingatia unadhifu na mavazi mazuri yasiyo na gharama, lakini bado watadhani wewe ni pedeshe.
Hayo yote yananikuta mimi, kila sehemu nikienda nakaribishwa kifalme kwa sababu ya muonekano tu, kumbe mfukoni ni mtu wa hali ya kawaida kabisa.
Am tired of this......
Tangazo la nini, mbona hakuna sehemu nimetangaza kitu chochoteLipia tangazo
Anzisha uzi tu ili tuwe eksklusiv kapo. Pm ushindani mkubwa ukizingatia uhendisamu wangu ni wa kipekee😂😂😂😂Nije pm au nikuanzishie tu uzi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa mkuu, Sometimes ukiwa maridadi unaficha mengiUmaridadi huficha umasikini .. Wa kale walimaliza..
Hata kama ni Kibaka ukiwa mtanashati hakuna atakayeamini kuwa wewe ni Kibaka mpaka watakapokutia moto..Kweli kabisa mkuu, Sometimes ukiwa maridadi unaficha mengi
Kwamba umaridadi huficha uhalifu 😂Hata kama ni Kibaka ukiwa mtanashati hakuna atakayeamini kuwa wewe ni Kibaka mpaka watakapokutia moto..
Sawa, lakini mimi sio kwamba sitafuti hela bro, nafanya mishe zangu na utanashati siwezi kuachaBila shaka unapaka na lip-shine pia.
Sisi wengine tunaamini kwenye bank account balance, investments na akili kichwani.
Huwa hata ndala tunavaa, boxer tunavaa hata mwezi, jeans mwezi hatujaali Sana muonekano.
Ushanitisha kumbe kuna wenzangu kibao huko pm nikikuanzishia uzi watakuwa tu wananichora ai kenti😕😂Anzisha uzi tu ili tuwe eksklusiv kapo. Pm ushindani mkubwa ukizingatia uhendisamu wangu ni wa kipekee😂😂😂😂
Donti bi laik zat. Wao wameamua kujificha, wewe unapata fursa ya kuwa mein chik, mwenye mali.Ushanitisha kumbe kuna wenzangu kibao huko pm nikikuanzishia uzi watakuwa tu wananichora ai kenti😕😂
Muandiko wangu una tatizo gani madam, au umekaa kizee?Fungua pm basi,,,ila huu mwandiko sio wa kijana mtanashati na handsome
Afya ya akili ni janga kubwa sana kwenye nnchi yetu!Ndyo, kwenye boxer guu la mtoto
Huyu keshaleft kitambo, kama uamini mwambie aruke kichurachura hafu ww uwe unamtoka nyuma..Uzuri tunawaachia wanawake, mwanaume kaza usije ukaleft group
Ndyo umekariri kusema hivyo au unaiga tu, kwanza hata unajua maana ya Afya ya akili?Afya ya akili ni janga kubwa sana kwenye nnchi yetu!