Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa

Mimi ni mtanashati na napenda kuwa nadhifu, tena sisahau kuhakikisha nanukia vizuri wakati wote
 
Use that opportunity to create friendship with benefit and CONNECTIONS sasa. Sio ubaki kubwabwaja tu kuwa huna kitu mfukoni. Neno langu la mwisho kwako TUMIA FURSA KADRI ZIKUJIAVYO
 
Use that opportunity to create friendship with benefit and CONNECTIONS sasa. Sio ubaki kubwabwaja tu kuwa huna kitu mfukoni. Neno langu la mwisho kwako TUMIA FURSA KADRI ZIKUJIAVYO
Kama fursa nitazipata kwa njia halali, lakini usumbufu mkubwa ni kutoka kwa wanawake, wanadhani mimi nina hela kwaiyo wanataka kuniganda kihuni tu
 
Kama fursa nitazipata kwa njia halali, lakini usumbufu mkubwa ni kutoka kwa wanawake, wanadhani mimi nina hela kwaiyo wanataka kuniganda kihuni tu
I just knew it ulisema unakaribishwa so I generalised it kuwa mpaka sehemu yenye kujitanua kimaslahi kumbe usumbufu unatoka kwa hiyo jenda, bhas pambana mkuu😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…