Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
 
The biggest mistake ever done by men was liberating these creatures from the kitchen. Now they're loose like a cannon ball, and it seems like men are no longer able to control them. Quite an ordeal 😁

Aisee vijana msiwaogope wanawake.​
 
Sisi miaka yetu hatukuwa na shida hata hao mnaowaita single mother _Watoto wao walituheshimu kama baba zao,nyie wa boxer nje mkome!
Kweli aisee. Hii nimeshuhudia Babu alikuwa na wake wanne na mke wa tatu alimkuta na watoto wawili akaja nao kukaa Kwa babu na wale watoto walimheshimu Babu kama baba yao mpaka Leo japo ni marehemu
 
Screenshot_20240926-220236.jpg
 
Hakuna kitu wanaume wanaogopa kama kushindwa na mwanamke katika maisha,kazi,pesa,elimu na kila kitu

No wonder kuna wanaume wanaamuq kuoa golikipa bora maisha yampige lakini awe na mnyonge wake nyumbani

Inferiority complex yasumbua wanaume
 
Back
Top Bottom