MPANGAPANGA
Member
- Sep 11, 2024
- 82
- 103
Wacha wee ,mmeamua kuishi maisha ya kushindana na wanaume unafikiri wanaume WA bongo hawajui wanajwaua sana wanawachora nyie mnatafsiri Wana inferiority ,wanaume WA bongo wanajiamini sana labda mzungumzie marioz au wale wavulana wenu wanaowapigia magoti eti can you marry me,real mens hababaishwi na mwanamke yoyote .Hakuna kitu wanaume wanaogopa kama kushindwa na mwanamke katika maisha,kazi,pesa,elimu na kila kitu
No wonder kuna wanaume wanaamuq kuoa golikipa bora maisha yampige lakini awe na mnyonge wake nyumbani
Inferiority complex yasumbua wanaume
Real men wa bongo wanatafuta mwanamke atakaye mtii , kama nyie mnaojifanya sijui mna exposure,pesa,elimu,kazi
real men's hawababaiabwi na status ya mwanamke kama hana upendo na utii wao daima hutafuta wanawake watakao watii na kutimiza majukumu yake kama mke walio tayari kuishi maisha ya ndoa sasa nyie femanists hamtaki ndoa mnataka watoto tu hivyo mna fake kama mnataka kuolewa ili mpate watoto then mkipata watoto mnataka muendelee kuishi maisha ya usela , nyie watu wenu ni wahuni wenzeni,madanga yenu na wote wanaowasapoti na ushamba wenu waliokengeuka kama nyie ,kwa hiyo watoto wenu wa kike mnawaandaa waje kuishi maisha huru kama popo au sio?