Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

Hakuna kitu wanaume wanaogopa kama kushindwa na mwanamke katika maisha,kazi,pesa,elimu na kila kitu

No wonder kuna wanaume wanaamuq kuoa golikipa bora maisha yampige lakini awe na mnyonge wake nyumbani

Inferiority complex yasumbua wanaume
Nyie wenye elimu,kipato mna shida sana,Bora sisi wa zamani ,mke anakiswaswadu hata ukipiga simu kama ya mezani Iko kwenye Banda la kuku au bustanini,taarifa ya habari saa2,Tuna Raha!wakome Hawa wa boxer na madam zao!
 
It amplifies the inferiority complex of wanaume wengi wa bongo. Wengi hawana exposure. Nawaonea huruma dada zetu.
Hakuna complex yoyote kiukweli mienendo ya wanawake wa kisasa haifai., kwamba mwanamke alete jeuri na umalaya halafu umfumbie macho ili uonekane hauna iyo inferiority compex?

Kuna ulazima gani wa mke wa mtu kuvaa nguo fupi au kuchelewa kurudi nyumbani. Mwanamke akivaa nguo za heshima na akimuaga mumewe anaenda wapi vile vile akiwahi kurudi home atapungukiwa nini?

Wanawake wa kisasa wamechagua hoe and partying life style wenyewe wanajua ndio uhuru, wamechagua kuwa jeuri, wabinafsi wenyewe wanajua ndio ferminism iyo na hayo yote wanataka kuyafanya bila kuwa accountable kwa yoyote.

Most of men like you have been brainwashed to think putting up with this nonsense makes you a strong man. Being a strong man means set boundaries and demand respect, you have to hold these women accountable.

All these women claim to be right advocates and ferminist are just pure evil bitches, they love to give morals but have non and they enjoy the company of weak men.

I yet to see a woman in leadership position or ferminist who is not an evil twisted soul far from womanhood
 
naona source ya vyote inaweza ikawa ni UFEMINIST wanawake kutafuta kuleta kuwa sawa na wanaume.Hii inaweza ikapingana na nature(culture,tamaduni ,imani),na kusudi la uumbwaji wa wanadamu.Mwanaume ameumbwa kuwa kichwa mtawala,kiongozi wa mke wake/mwanamke.Mwanamke ana wajibu wa kumtii ,kumnyenyekea na kumuheshimu mume wake.Na mume ana wajibu wa kumpenda mke wake,na kimuheshimu kama kiumbe dhaifu kisichokuwa na nguvu.
sasa mfano 1)kutoka bila kuaga na 2)kuchelewa kurudi.Kama umetoa taarifa au umeomba ruhusu kabla na kuna mawasiliano mazuri baina yenu na kuna sababu genuine ya hayo na sio excuse za mara kwa mara zisizoeleweka ni rahisi kueleweka.Kuwa single mother sio issue kama ni wife material,kuvaa nguo za kubana ni maelewano kama mwenza wako hapendi au anapenda ni kusikilizana.Kuhusu wake kuwazidi kipato waume zao sio issue kama kuna heshima.Kuomba pesa zille za kawaida kulingana na hali halisi ya uwezo wa kiuchumi wa mwenza wako mbona sio issue wanaume akipenda haoni shida kuhudumia.
Sio wote marioo wanapenda kulelewa sio wote wanashindwa ku stay na single mothers.Tatizo ni hilo UFEMINIST ni wachache sana wanaume wanaweza kuvumilia mwanamke anayetaka kumpanda kichwani ,asiyemuheshimu,asiyemsikiliza,anayejiona na yeye yuko sawa na yeye asiyependa kujishusha na kunyenyekea.NA HILI NI JANGA litakaloenda kusababisha ndoa nyingi za vijana huko mbeleni zitakua hazidumu kwa sababu ya kuwa empower wanawake,in the future ndoa zitaadimika kam trend ya kuwa empower wanawake wawe sawa na wanaume ,na nafikikiri huu ni mpango wa nhivu za giza ili kuvunja ndoa familia ,kutengeneza kizazi cha single mothers na single fathers na watito waliokosa malezi ya pamoja ya wazazi.
 
Ukiwa Feminists ni shida,

Single mother ni shida,

Ukiomba pesa malalamiko

Ukimzidi mwanaume wako kipato kama yeye sio marioo tatizo.

Ukimzidi mwanaume elimu ni tatizo

Ukivaa nguo za kubana sio wife material

Ukitoka nyumbani unatakiwa kuomba ruhusa.

Ukichelewa kurudi nyumbani tatizo.
Taja sifa za uyo mwanamke wa kisasa halafu tuangalie hapa kama kuna mwanaume yoyote timamu na anajua nafasi yake kama mwanaume kwenye familia na jamii anaweza kukubaliana nazo.

Kwamba uvae nguo zisizo za heshima, uwe mtu wa mitoko mitoko tu bila kuaga, uchelewe kurudi nyumbani in the name of mwanamke wa kisasa halafu unataka usiwe accountable kwa mumeo.!
 
Feminism ni nini?

Mbona neno hili huwa hatulisikii kwenye mada zinazohusu vita?

Au wenzangu mnikumbushe labda pengine kuna siku Feminist waliwahi kudai haki ya wanawake kukaa front line huko Ukraine na Gaza ila mi tu sikusikia?

"Ladies first" ni kauli mbiu nayokutana nayo mara nyingi kwenye maswala ya kimaslahi na sio kwenye mambo magumu.
 
Sijaona hapo point kuwa wakijitegemea wao wenyewe pia kama ni tatizo!
Solution, hao wanawake ni wajitegemee tuu wao kama wao
 
"Ladies first" ni kauli mbiu nayokutana nayo mara nyingi kwenye maswala ya kimaslahi na sio kwenye mambo magumu.
Na ilitengeneza special kwa ajili ya maslahi tu ila hakuna kazi nyingine😂😂😂
 
The biggest mistake ever done by men was liberating these creatures from the kitchen. Now they're loose like a cannon ball, and it seems like men are no longer able to control them. Quite an ordeal 😁

Aisee vijana msiwaogope wanawake.​
Mtu uliyezaliwa na mwanamke unapata ujasiri wapi wa kuwaita "creatures"? Na kwa nini unataka kumcontrol binadamu mwenzako?

Wanawake ni watu wa kuwaheshimu na kuwaenzi kutokana na nafasi yao ya kipekee ya kutuzaa na kutulea wakati hatuna uwezo wowote wa kujifanyia lolote.

Na mara nyingi tukipita huu umri wa kujimwambafy, hao hao wanawake ndio wanatulea mpaka tunapoondoka katika hii dunia. Kuwatukana ni upumbavu wa hali ya juu.

Amandla...
 
Back
Top Bottom