Tuna plenty of choices kwenye suala zima la (ndoa,mapenzi, mahusiano) ndo maana huwezi kuta wanaume wanaenda kuombewa wapate wanawake kwa mamposa au wachungaji wengine ila ila ila ila ilaMwanamke zake tambo ni miaka 20 mpk 40 tu, baada ya hapo kwisha habari yako!
Ikiwa mwanamke hajaolewa katika umri huo imetoka, na akiwa hana mtoto ndiyo nitolee hiyo.
Lkn midume inaendelea kula mzigo na kuoa kama kawaida mpka siku atakayokwenda peponi.
View attachment 2494246
Kwakweli aliwalegezea ili mjipooze na machunguTuna plenty of choices kwenye suala zima la (ndoa,mapenzi, mahusiano) ndo maana huwezi kuta wanaume wanaenda kuombewa wapate wanawake kwa mamposa au wachungaji wengine ila ila ila ila ila
Cost ya kuwa kidume ni kubwa sana ndo maana wanaume wengi wanajiua na kujiingiza kwenye mambo ya hovyo ili tu kujipatia riziki
Anyway Mungu alikuwa fair kutulegezea kwenye papuchi tujipooze na hizi stress za kiume
🤒😒
Umewafangilia Sana wanaume kwenye comment hiiTuna plenty of choices kwenye suala zima la (ndoa,mapenzi, mahusiano) ndo maana huwezi kuta wanaume wanaenda kuombewa wapate wanawake kwa mamposa au wachungaji wengine ila ila ila ila ila
Cost ya kuwa kidume ni kubwa sana ndo maana wanaume wengi wanajiua na kujiingiza kwenye mambo ya hovyo ili tu kujipatia riziki
Anyway Mungu alikuwa fair kutulegezea kwenye papuchi tujipooze na hizi stress za kiume
🤒😒
Read between the lines dadahUmewafangilia Sana wanaume kwenye comment hii
Haina shida. Kitendo cha yeye kupewa ridhaa tu ya kummiliki huyo mrembo ni ushindi toshaSawa lakini kwa umri huo ajiandae kugongewa
Atafunga tu. Maana huyo amefika mpk mweziniAkiunga bao nipo pale
Unawaza matusi tu mxxeew!👽Akiunga bao nipo pale
Usikariri maishaAtafia kifuani kenge huyo
Ana nguvu kama zote huyo. Kwa vyovyote vile dada alitest mitambo kama Dorothy Gwajima kabla ya kukubali ndoaAtafia kifuani kenge huyo
Mapenzi hayana macho ( mapenzi ni kipofu).Duhhh! Huyo kama kitukuu chake kabisa! ???!!!?🤔🤔🤔