Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Aah kwani vita hio.........Akiunga bao nipo pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah kwani vita hio.........Akiunga bao nipo pale
Kwakweli!Mapenzi hayana macho ( mapenzi ni kipofu).
Kweli Rais Biden ni mzee,Lakini kawa Rais.Umri kabla ya Biden Kikwete amestaafu😂😂😂😂😂😂Umri ni namba
😂😂😂😂😂 Kijana unamjua mwenzako????swali hili huulizwa kabla ya kupokea mahari.Ana nguvu kama zote huyo. Kwa vyovyote vile dada alitest mitambo kama Dorothy Gwajima kabla ya kukubali ndoa
Si ndio kwenye ule uzi wa mapenzi na wazee ulikua unawafagilia mbona hapa washangaa?Duhhh! Huyo Si ni kama kitukuu chake kabisa! ???!!!?[emoji848][emoji848][emoji848]
Exactly.Mtasema pesa lakini kuna amani ya tofauti inapatikana kwa hao wenye umri wa juu juu huko
Mtu mzima analea mwanamke kama mwanaye. Na hawana makuu kwemye ligwaride pia. Habari ya kusema kaa hivi, simama vile au jikukunje kama nn hakuna.Exactly.
Watu wazima dawa jamani.
Naomba niwaulize kidogo jamani; Hivi Ndoa maana yake ni Kulalana tuu (Me na Ke) au kuna kitu kingine zaidi ambacho hakisemwi ila husemwa baada ya kufunga ndoa??Ana nguvu kama zote huyo. Kwa vyovyote vile dada alitest mitambo kama Dorothy Gwajima kabla ya kukubali ndoa
Nimesoma kwenye moja ya websites huyo alikuwa kichuna wake kwa miaka mingi ni kama wamehalalisha tu. Na huyo mwanamke ana umri wa miaka 63 (siyo yanki).Sawa lakini kwa umri huo ajiandae kugongewa
Unawaza matusi tu mxxeew![emoji89]
Exactly. Kwenye ndoa kunahitaji busara, hekima na amani ya rohoni. Hata kama unamuduje tendo (kama wengi wanavyodhani), lakini kama hakuna amani ni bure na ni mateso. Kama hakuna maamuzi yanayofanyika kwa hekima katika ndoa yenu ujue ndoa hio ni balaa tupu. Ndo mana unasikia watu wawili waliotamkiana hadharani NAKUPENDA, NITAKUHESHIMU n.k.nk hao hao wanamwagiana petroli, wanashikiana visu/panga/shoka wanauana. Kwa ufupi huyo dada ameona mbali zaidi ya mapenzi.Write your reply...Huyo dada Kuna kitu Cha ziada kakiona kwa yule mzee ukiachilia mbali mapenzi
Hakuna masikitiko, gari bovu linavutwa na gari zima.Mwanamke zake tambo ni miaka 20 mpk 40 tu, baada ya hapo kwisha habari yako!
Ikiwa mwanamke hajaolewa katika umri huo imetoka, na akiwa hana mtoto ndiyo nitolee hiyo.
Lkn midume inaendelea kula mzigo na kuoa kama kawaida mpka siku atakayokwenda peponi.
View attachment 2494246