Kuwa na mahusiano na kibonge ni raha sana

Kuwa na mahusiano na kibonge ni raha sana

Mimi wangu ni mwembamba kunasiku tuko Rau mvua ilinyesha hadi saa nne usiku, kurudi geto ikawa mtihani boda hawataki sababu ya tope, ikabidi tutembee kwa mguu.
Bahati mbaya viatu vyake vikaachia, akawa anatembea kwa madoido alafu mvua kama inataka kurudi.
Nilimbeba mgongoni mpaka geto.... Wanawake wembamba waheshimiwe🙏🙏
 
Mimi wangu ni mwembamba kunasiku tuko Rau mvua ilinyesha hadi saa nne usiku, kurudi geto ikawa mtihani boda hawataki sababu ya tope, ikabidi tutembee kwa mguu.
Bahati mbaya viatu vyake vikaachia, akawa anatembea kwa madoido alafu mvua kama inataka kurudi.
Nilimbeba mgongoni mpaka geto.... Wanawake wembamba waheshimiwe🙏🙏
Kwa hiyo ulimbeba kama mzigo wa kuni?
 
Mkuu,
Unasikiliza bolingo au bakurutu au MSONDO na sikinde...

Au ulaya na marekani.
Nikiwa nakunywa hizi bia nasikiliza bolingo au bakurutu, nikiwa nakunywa 'wine' nasikiliza R&B, nikiwa nakunywa 'whisky' nasikiliza country; msondo huwa sisikilizi kwa sababu sitaki kuzeeka mapema.​
 
Sisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama.

Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu muonekano wake unanishawishi.

Na hii baridi baridi hii, ngoja nimpigie simu angalau tukapate moja moto moja baridi.

Kazi kwenu wananzengo..

View attachment 3114375
Sema nini...vibonge hawanaga makuu.
Wanaridhika haraka sana kwa vitu vingi.
Vimbau mbau haha...sisemi😂
 
Back
Top Bottom