Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
tuacheeeMidoli ya michelin man 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuacheeeMidoli ya michelin man 🤣🤣🤣🤣
sawa ni kwa ubonge wako wewessio
kwa ubonge wako
haya ni wewe komamanga la bluesio wewe..!
Nani atanipa likayabweee?
Likayabwee ya kwetu nyuumbaanii, loooh!
Mbususu zenu zina jotroo sana....siwezi kuwaachatuacheee
shenzi weweMbususu zenu zina jotroo sana....siwezi kuwaacha
Hahaa, Misoji mbona dada yangu yule.Nakuletea Misoji atakufaa.
Ndio ukweli sasa tena upate ambaye amebarikiwa na matiti hadi rahashenzi wewe
Ebu weka kapicha, inawezekana huu ukawa mwaka wako wakufungiwa ndani 😀Si umesikia na wewe...Tuendelee kunenepeana tu.🤣
Unaijua mitako yenye ZIP Code yake yenyewe?
Ile inayoanzia mtaa mmoja inapitiliza mpaka mtaa wa pili?
Hahaa. Mtako unaweza kumuweka mtoto mdogo pale juu na asidondoke.Aahahahaaa nimechekaaa.....
Hapo upate chotara wa kinyakyusa na kihaya, yaani huyo shori awe baba yake Mhaya mama yake Mnyakyusa....
Huo mtako wake uukodie kitoroli shurti usiburuzike....😁😁😁
Sijui akili yangu imewaza nini....😛.
Hahaa, Misoji mbona dada yangu yule.
Mimi na wewe tu.
Ngoja nifanye juu chini niwe bonge. Ile ahadi yetu kumbe inaweza isitimie nikiendelea kuwa kimodo.Ebu weka kapicha, inawezekana huu ukawa mwaka wako wakufungiwa ndani 😀
Jitahidi uwe na T mbili 😀Ngoja nifanye juu chini niwe bonge. Ile ahadi yetu kumbe inaweza isitimie nikiendelea kuwa kimodo.
Hahaa. Mtako unaweza kumuweka mtoto mdogo pale juu na asidondoke.
Wale vimodo wote roho zao ndogo kama miili yao.Ngoja nifanye juu chini niwe bonge. Ile ahadi yetu kumbe inaweza isitimie nikiendelea kuwa kimodo.
Kuna dada mmoja Mmarekani nilikuwa naye ndani ya New York City tunabarizi jioni near The Brooklyn Bridge by the East River on the Manhattan side.Khna mwanaume mmoja aliniambia, mwanaume aliyekiumeni atqgeuza shingo kwa vitu viwili;
1. Mwanamke mwenye tako....
2. Magari haswa ya kipekee kama sports cars, mfano Lamboghini (nisahihishe spelling tafadhali), ama yale yanatoa mlio kama exhaust imekatika, wenyewe mnaita mnyama.
Kuangalia ni jambo moja, kutamani ni jambo jingine, kutaka kuliendesha/kumjaribu mwanamke ni jambo lingine na kutaka kumiliki gari/kumuoa mke ni jambo lingine tofauti na kugeuza shingo kuangalia tako/gari iliyopita.
Kuanzia hapo sina shida mwanaume akipiga kiwi cha macho...😉😉😜.
Mjusi kakumbatia gogoSisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama.
Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu muonekano wake unanishawishi.
Na hii baridi baridi hii, ngoja nimpigie simu angalau tukapate moja moto moja baridi.
Kazi kwenu wananzengo..
View attachment 3114375
Hamna bwana. Ina mana nikibongeka roho nayo itabongeka?Wale vimodo wote roho zao ndogo kama miili yao.
We chunguza utaona hilo 🤣🤣🤣