Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Hayajui kumnyima mtutatizo ni mama huruma, ukijieleza vizuri kwa kujitilisha huruma unapewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayajui kumnyima mtutatizo ni mama huruma, ukijieleza vizuri kwa kujitilisha huruma unapewa
wala hayajuag, halafu hiyo minyama nyama inapendeza akivaa nguo akivua hayavutii kabisaHayajui kumnyima mtu
Chora hata kwa mkono, tuone hiyo cintinental shelf, ilivyokaakaa.Yeah.
Lakini tako halina "Continental Shelf" bado.
Acha tu mkuu! Kama kiboko Ile minofu😁😁😁wala hayajuag, halafu hiyo minyama nyama inapendeza akivaa nguo akivua hayavutii kabisa
Njoo nijaribu njiti mimi uungue,uje na shuhuda mpya apaHawana joto, wengi ni wabaridi
Umekosea utafiti nakubishia waalah.wala hayajuag, halafu hiyo minyama nyama inapendeza akivaa nguo akivua hayavutii kabisa
Asante sana kwa niaba yao😌😌❤️Mimi wangu ni mwembamba kunasiku tuko Rau mvua ilinyesha hadi saa nne usiku, kurudi geto ikawa mtihani boda hawataki sababu ya tope, ikabidi tutembee kwa mguu.
Bahati mbaya viatu vyake vikaachia, akawa anatembea kwa madoido alafu mvua kama inataka kurudi.
Nilimbeba mgongoni mpaka geto.... Wanawake wembamba waheshimiwe🙏🙏
Weee naijuaaaa hiooooYaani wamejaa fungus sana!
ni wewe tafadhari...🤣haya ni wewe komamanga la blue
Wanaume tumeumbwaa mateso nduguUkipiga game dakika moja tu harufu room nzima😂
kuna vibombe na mabonge, mkuu hao wenye T3, yaani Tako, Tumbo na Titi unawajua vizuri? yaani uwiano wa tako na tumbo unaendana atakuwaje na shape nzuri ya kuvutia hapo? kwenye suala la uchi maumbile yametofautiana kabisa inategemeana na matumizi ya hicho kifaaUmekosea utafiti nakubishia waalah.
Mwanamke kuboa akivua, ni umbile la mtu, haijalishi mwembamba ama mnene.
Kwa sisi wazoefu, vibonge wengine walioumbika ni wazuri sana wakiwa uchi kuliko wanavokuwa wamevaa.
Ni lile tako la kubebea mtoto mdogo asianguke.Chora hata kwa mkono, tuone hiyo cintinental shelf, ilivyokaakaa.
Dah, vijana mna mambo nyie! 😁😁😜
Una visa wewe, nitakusimulia nikija.
Powaa mzima wewe
hash upo poa lkinsawa ni kwa ubonge wako wewe
imara kama chumaa
hash upo poa lkin
Ebu njoo upate angalau savana mbili hapa kwa mangiNjoo nijaribu njiti mimi uungue,uje na shuhuda mpya apa