Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
savana situmii kiongoziEbu njoo upate angalau savana mbili hapa kwa mangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
savana situmii kiongoziEbu njoo upate angalau savana mbili hapa kwa mangi
Ivi business intelligent jamaa saiv anatumia account ingine.mI miss niko poa kabisa
Haujatoa posa wala mahari.Acha sound kijana.Sisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama.
Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu muonekano wake unanishawishi.
Na hii baridi baridi hii, ngoja nimpigie simu angalau tukapate moja moto moja baridi.
Kazi kwenu wananzengo..
View attachment 3114375
Ivi business intelligent jamaa saiv anatumia account ingine.
KwaniniUzuri ukimdate bonge hamuwezi achana
Wapi Neema Mziho?Sisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama.
Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu muonekano wake unanishawishi.
Na hii baridi baridi hii, ngoja nimpigie simu angalau tukapate moja moto moja baridi.
Kazi kwenu wananzengo..
View attachment 3114375
Wanakua na madhaifu mengi mengi hawapo tayar wengi wayajue, pia Wana moyo wa kusamehe sanaKwanini
Nimejifunza kitu mkuuWanakua na madhaifu mengi mengi hawapo tayar wengi wayajue, pia Wana moyo wa kusamehe sana
jamaa yangu, shughuri yako kubwa huwa ni kuzungumzia mapenzi, tafadhari wahi hospital una tatizo kubwa la kisaikolojiaSisi tuliojaliwa kuwa na wapenzi vibonge, tunapata raha sana kuliko wale wenye wapenzi wenye muonekano wa namba moja iliyosimama.
Muda wote nashawishika kumtoa 'out' ata kwa mkopo kwa sababu muonekano wake unanishawishi.
Na hii baridi baridi hii, ngoja nimpigie simu angalau tukapate moja moto moja baridi.
Kazi kwenu wananzengo..
View attachment 3114375
litaka aongelee yajamaa yangu, shughuri yako kubwa huwa ni kuzungumzia mapenzi, tafadhari wahi hospital una tatizo kubwa la kisaikolojia
Tafuta Moja sheikh utaenjoy sana na mvua hii utaambiwa 'kula ukimaliza ufunike'Nimejifunza kitu mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hujakutana na mtu Tumbo, Mgongo na Makalio vyote viko vimerundikana eneo moja.
Yani akitembea utadhan Dume la Mamba linarudi mtoni.
dronedrake Wasalaam.
Ngoja nibongeke kwanza nitarudi kuweka.Haya tuanze leo kuweka before and after photos.
Haahaaa,Tafuta Moja sheikh utaenjoy sana na mvua hii utaambiwa 'kula ukimaliza ufunike'
Kajaribu utupe mrejesho😁Haahaaa,
Ndio kusema hawajishuhurishi..eeee amekaa TU.