Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

Hamna tabia huniudhi kama mwanamke kuwa na zile "we fulani ninunulie soda fulani ninunulie chips " utaskia namtania
Amn
 
ikiwa
1. mwanamke hana kipato imara
2. hawezi kunipigia simu tukaongea kwa dakika 15 non stop
3.haombi ombi pesa kilamara
4. hana kazi au biashara inayoeleweka
5. msumbufu na mlalamikaji kila mara
6. hana utulivu wa akili , na hana tamaa za kijinga
7.hana mawazo chanya


mwanamke wa aina hiyo siwez date nae
 
namba 5 hii ni adim sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…