Akiwa ni wanyumbani ujuwaji sana hana wa kazini mpaka mawakili anawajua na pesa ya kuwalipa anayo kwa sababu ni fighter kwa hivyo utakionahata wanyumban kikiumana, utasikia tugawane mali..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa ni wanyumbani ujuwaji sana hana wa kazini mpaka mawakili anawajua na pesa ya kuwalipa anayo kwa sababu ni fighter kwa hivyo utakionahata wanyumban kikiumana, utasikia tugawane mali..
AmnHatari mtu wangu, halafu wengine wajanja, mwanaume unamhonga ukijua unamsaidia, kumbe mwenzio anajenga nyumba yake nzuri, na gari ananunua, mwanaume unabakia kuishi kwenye nyumba za kupanga
Binafsi kuna wadada hadi nimewakimbia, unakuta hujamtongoza wala hujamuomba hata namba ya simu, ni ile tu mmezoeana, ila karibia kila siku vizinga, looh princess ariana
🤣 aiseeMmoja aliniomba nimuongezee 5mil kwenye duka la vinywaji la jumla,nikasema tu NTOMBANEWE.
Daaah uswazi zipo sana hizi na wahuni wanajuaga kuzitumia hizi chance.Hamna tabia huniudhi kama mwanamke kuwa na zile "we fulani ninunulie soda fulani ninunulie chips " utaskia namtania
Amn
Yani sio tu uswazi sehemu nyingi sanA.Daaah uswazi zipo sana hizi na wahuni wanajuaga kuzitumia hizi chance.
hii kwenye footbal si ndo ile wachambuzi wanaita mipira iliyokufa?Yani sio tu uswazi sehemu nyingi sanA.
KAma ofa mtu siusubiri upewe ila utaskia fulani ninnulie juice basi
namba 5 hii ni adim sana.ikiwa
1. mwanamke hana kipato imara
2. hawezi kunipigia simu tukaongea kwa dakika 15 non stop
3.haombi ombi pesa kilamara
4. hana kazi au biashara inayoeleweka
5. msumbufu na mlalamikaji kila mara
6. hana utulivu wa akili , na hana tamaa za kijinga
7.hana mawazo chanya
mwanamke wa aina hiyo siwez date nae