Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa na kijana wa jf itakuaje?Yaan bora nitulie na Mme wangu tu
wote tu si mpo na mahaba na ID za watuMimi au mtoa mada? 🤣🤣
Unakuta mtu na demu wake wanakaa kwenye libeseni kama lile la Alikiba na Nady Afu wanarushiana yale mapovu....mzeee couple za huku Minjingu hayo mambo hamnaMda mnao ila hamna hayo magemu hata ya kwenye simu.
Waulize wenzako akina Leejay49 watakupa majibu yatakayokufanya ufanye uamuzi muruaNi matumaini yangu nyote wazima wa Afya
Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.
Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda
Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa
Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
Mahaba yako kwa Word mm nataka niyarenew. Uache kunisumbuawote tu si mpo na mahaba na ID za watu
SawasawaUnaona sasa? Hata ukitajiwa hapa unatoka empty
Nyie huko kaeni mitoni juu ya mawe sijui mtarushiana mawe 😂Unakuta mtu na demu wake wanakaa kwenye libeseni kama lile la Alikiba na Nady Afu wanarushiana yale mapovu....mzeee couple za huku Minjingu hayo mambo hamna
Hapana mimi sio wa kupata tukio humu ila nyuzi za shuhuda za wengine zinachekesha.Vip ulipata tukio au
I appreciate🧡🧡Ndo ujue you are loved yaani😄
Mkuu,Suhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
Huku porini kila mtu anaoga kivyake huko, mm nachunga yy kaja kufata kuni porini tunakubalini location na mda ko ikifika hyo mida nakua napiga mluzi mara Moja Moja ili ajue nipo wapi hiyo dabi itakayopigwa Hapo inaitwa never seen before🤣🤣Nyie huko kaeni mitoni juu ya mawe sijui mtarushiana mawe 😂