ahahahah,Hunikut men mweus mzur sana ila sio mweusiiiiiii ka lami no[emoji2][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23]..huyo ndo Evelyn salt Mwenyewe,..
Real men eat fresh not BonesWanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Kweli kabisa hata simba hali mifupa labda mifisi ndo ula mifupa
Exactly, ahsante kwa kujaziaKweli kabisa hata simba hali mifupa labda mifisi ndo ula mifupa
Hata mimi nakupenda jinsi ulivyoMm kwakweli najikubali na rangi yangu, na ninajipenda jinsi nilivyo.
Hahahha asante sana.Hata mimi nakupenda jinsi ulivyo
Ni dhahiri kuwa ulipambana na hali yako kisawasawaKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Hehehe sawaWanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Weupe unaleta mvuto sawa ila wengi wao wakavu ukilinganisha na weusi.I'm not black ila naona watu wanavyohangaika kutumia chemicals ili wawe weupe. Ila weupe unavutia bwana
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]