Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nice,NI PM number yako nikutumie elfu kumi ya soda kama huamini basiHahha acha nipambane na rangi yangu, black is beauty ati! Wala sijawahi kujichukia walah.
Najipenda mpk naumwa.
Hahaaa!!!! Huyo mweupe akili imelala kivipi??Mi nainjoy rangi zote za mademu wangu, nina wa black na natural white halfcast.
Kiukweli nampenda zaidi the white, ni mtamu sana kwa mapenzi full kudeka & superromantic, mtiifu,mwepesi wa kusema samahani. Shida ni kuwa akili yake imelala kidogo sio msharp wa kuchanganua mambo.
The black one nampenda kwa sababu tu ana akili na reasoning ya fasta pia ana utu. Hayupo romantic kabisa wala hajui mapenzi ni kufundishana kusiko na mwisho. Visirani sasa wee...
Mwishowe, rangi sio kigezo cha mwanamke kuwa mzuri kila rangi huongeza mvuto wake kwako na kujiamini.
Sasa ukavu si unategemea na maandalizi? Au weusi wao wanakuaga wet bila kuandaliwa? kwanza nilisikiaga weupe ndo wanakuaga na maji mengi down there.Weupe unaleta mvuto sawa ila wengi wao wakavu ukilinganisha na weusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kinyume chake. Weusi wako wet zaidi na hisia zaidi pia. Kuna wengine hata wafanyiwe maandalizi nature yao ni wakavu. Ila generally weupe huvutia zaidi kimwonekano.Sasa ukavu si unategemea na maandalizi? Au weusi wao wanakuaga wet bila kuandaliwa? kwanza nilisikiaga weupe ndo wanakuaga na maji mengi down there.
Hapo mwisho umemalizia vizuri...Ni kinyume chake. Weusi wako wet zaidi na hisia zaidi pia. Kuna wengine hata wafanyiwe maandalizi nature yao ni wakavu. Ila generally weupe huvutia zaidi kimwonekano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yahe wewe yaelekea ni ngosha, siku hizi hao viumbe ni viti vya mabasi kila mwenye pesa yake anapanda tu! so mwanaume mjanja ni yule mwenye pesa tu!Mwanamke mwenye sura nzuri,macho angavu,midomo laini,na pia anayejua kudeka indeed huongeza ashki katika mapenzi.
Kama huna/haujawahi kudate na mwanamke mweupe kisura pole sana,pambana na hali yako
Mtoto white humfanya mwanaume aonekane mjanja na mwenye sound
Ukweli lazima usemwe. Ukikuta msichana mweupe wa asili hajajichubua na katunza ngozi yake vizuri kweli anavutia. Linalonichanganya ni pale mtu ana weupe na bado anaongeza mkorogo mpaka mishipa mieusi inaonekana! Hapo nasema afadhali mweusi. Hivi huwa hakuna vipodozi vinavyoweza kuwafanya ngozi iwe nyororo bila kujichubua? Mwanamke akiweza kufanikisha hilo karata yangu anayo.Hapo mwisho umemalizia vizuri...
hahah ila mkuu ungejisikiaje kama ndo umeandika hivi alafu kuna mtu alikuwaiKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Basi karata yako ninayo tayari... nina rafiki mweupe kama mwarabu ila nae anajichubua... weupe haujawahi kutuacha wanawake salama ujue.Ukweli lazima usemwe. Ukikuta msichana mweupe wa asili hajajichubua na katunza ngozi yake vizuri kweli anavutia. Linalonichanganya ni pale mtu ana weupe na bado anaongeza mkorogo mpaka mishipa mieusi inaonekana! Hapo nasema afadhali mweusi. Hivi huwa hakuna vipodozi vinavyoweza kuwafanya ngozi iwe nyororo bila kujichubua? Mwanamke akiweza kufanikisha hilo karata yangu anayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu niubaguzi mnatubagua wanawake weusi[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]Basi karata yako ninayo tayari... nina rafiki mweupe kama mwarabu ila nae anajichubua... weupe haujawahi kutuacha wanawake salama ujue.
Huu niubaguzi mnatubagua wanawake weusi[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] View attachment 556141mnatuonea poa
Sent using Jamii Forums mobile app
BIG Up! Yaani usije tenguka kuwafuata wanaojichubua. Bora ugharimike vipodozi vya kulainidha ngozi na siyo kubadili rangi. Hata sijui hao weupe halafu wanajichubua huwa wanatafuta nini, mpaka sielewi. Na ukiwaeleza mtagombana kwakuwa wanaona wengine wanajichubua.Basi karata yako ninayo tayari... nina rafiki mweupe kama mwarabu ila nae anajichubua... weupe haujawahi kutuacha wanawake salama ujue.
Hatuwabagui wanawake wenzetu, mi mwenyewe sio mweupe wala si mweusi sema nimeridhika na hali yangu.. sema nikipiga picha mashallah karangi ka kukadangayia kapoHuu niubaguzi mnatubagua wanawake weusi[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] View attachment 556141mnatuonea poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko tofauti saaana aisee! Miki mwanamke mweupe, hapana! Na mpenzi wangu siku akijaribu kujichubua tu, namuacha taslimu!I'm not black ila naona watu wanavyohangaika kutumia chemicals ili wawe weupe. Ila weupe unavutia bwana
Tuko tofauti saaana aisee! Miki mwanamke mweupe, hapana! Na mpenzi wangu siku akijaribu kujichubua tu, namuacha taslimu!