Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Mi nainjoy rangi zote za mademu wangu, nina wa black na natural white halfcast.

Kiukweli nampenda zaidi the white, ni mtamu sana kwa mapenzi full kudeka & superromantic, mtiifu,mwepesi wa kusema samahani. Shida ni kuwa akili yake imelala kidogo sio msharp wa kuchanganua mambo.

The black one nampenda kwa sababu tu ana akili na reasoning ya fasta pia ana utu. Hayupo romantic kabisa wala hajui mapenzi ni kufundishana kusiko na mwisho. Visirani sasa wee...

Mwishowe, rangi sio kigezo cha mwanamke kuwa mzuri kila rangi huongeza mvuto wake kwako na kujiamini.
Hahaaa!!!! Huyo mweupe akili imelala kivipi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukavu si unategemea na maandalizi? Au weusi wao wanakuaga wet bila kuandaliwa? kwanza nilisikiaga weupe ndo wanakuaga na maji mengi down there.
Ni kinyume chake. Weusi wako wet zaidi na hisia zaidi pia. Kuna wengine hata wafanyiwe maandalizi nature yao ni wakavu. Ila generally weupe huvutia zaidi kimwonekano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke mwenye sura nzuri,macho angavu,midomo laini,na pia anayejua kudeka indeed huongeza ashki katika mapenzi.
Kama huna/haujawahi kudate na mwanamke mweupe kisura pole sana,pambana na hali yako
Mtoto white humfanya mwanaume aonekane mjanja na mwenye sound
Yahe wewe yaelekea ni ngosha, siku hizi hao viumbe ni viti vya mabasi kila mwenye pesa yake anapanda tu! so mwanaume mjanja ni yule mwenye pesa tu!
 
Hapo mwisho umemalizia vizuri...
Ukweli lazima usemwe. Ukikuta msichana mweupe wa asili hajajichubua na katunza ngozi yake vizuri kweli anavutia. Linalonichanganya ni pale mtu ana weupe na bado anaongeza mkorogo mpaka mishipa mieusi inaonekana! Hapo nasema afadhali mweusi. Hivi huwa hakuna vipodozi vinavyoweza kuwafanya ngozi iwe nyororo bila kujichubua? Mwanamke akiweza kufanikisha hilo karata yangu anayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli lazima usemwe. Ukikuta msichana mweupe wa asili hajajichubua na katunza ngozi yake vizuri kweli anavutia. Linalonichanganya ni pale mtu ana weupe na bado anaongeza mkorogo mpaka mishipa mieusi inaonekana! Hapo nasema afadhali mweusi. Hivi huwa hakuna vipodozi vinavyoweza kuwafanya ngozi iwe nyororo bila kujichubua? Mwanamke akiweza kufanikisha hilo karata yangu anayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi karata yako ninayo tayari... nina rafiki mweupe kama mwarabu ila nae anajichubua... weupe haujawahi kutuacha wanawake salama ujue.
 
Basi karata yako ninayo tayari... nina rafiki mweupe kama mwarabu ila nae anajichubua... weupe haujawahi kutuacha wanawake salama ujue.
Huu niubaguzi mnatubagua wanawake weusi[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
IMG_20170712_111438.jpg
mnatuonea poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi karata yako ninayo tayari... nina rafiki mweupe kama mwarabu ila nae anajichubua... weupe haujawahi kutuacha wanawake salama ujue.
BIG Up! Yaani usije tenguka kuwafuata wanaojichubua. Bora ugharimike vipodozi vya kulainidha ngozi na siyo kubadili rangi. Hata sijui hao weupe halafu wanajichubua huwa wanatafuta nini, mpaka sielewi. Na ukiwaeleza mtagombana kwakuwa wanaona wengine wanajichubua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ule weupe wa kununua manzi anakuwa wa pinki, alafu huku kwenye makwa kunakuwa na mistari stari flani haieleweki huko ndani unakuta vidoa doa.....hii copy........
 
Mimi hapana! Mke mweupe hana nafasi na wala hanipi mzuka.... Ugonjwa wangu ni mwanamke mweusi mng'avu, mrefu na umbo la kati na mwenye kiuno cha dondora, sio msambwanda mkuuuuubwa!.. Kaduchu tu.... Hapo nafunga breki za mbele kabisa.....
 
I'm not black ila naona watu wanavyohangaika kutumia chemicals ili wawe weupe. Ila weupe unavutia bwana
Tuko tofauti saaana aisee! Miki mwanamke mweupe, hapana! Na mpenzi wangu siku akijaribu kujichubua tu, namuacha taslimu!
 
Asante mbitiyaza ila mnatubagua weusi[emoji27]

Sent using Jamii Forums mobile app


hahahahah ww sasa endlea kulia lia hapa!mie sio white alafu ni chocklate color! wala sijawah shawishika kujichubua na kuwa km majini aic! kwanza wanangu watacheka sana sana sana lol! tujikubali tu na rangi zetu muyego! hiyo pic ulotuma na mm nakaribiana na rang hyo na nina aman tele! tutafute tu chapaa!
 
Back
Top Bottom