Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Wanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii

Sio kwa kunichekesha huko mkuu.

Ila kwa kuwa moyo wako ndiko unakopenda kudondokea vumilia tu mkuu.
 
Hiyo research yako ilihusisha wanaume wangapi huku mtaani kwetu wanaamini weusi wanakajoto poa na weupe cold blooded!! [emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Chombo lazima kipashwe moto bhana! Kikiwa cha moto! Ukichomeka tu, bao! Kwenye vikao vyao sasa utasikia aaah! Jamaa hajiwezi dakika 2 tu chali! Napenda white bana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mtoa mada nakubaliana na wewe asilimia zote watoto rangi nyeupe ni kila kitu Halafu ukute sio weupe wa dukani mashallah Napenda sana Mange kimambi na rangi yake sijui ntampataje?
 
Back
Top Bottom