Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
Hahahhahahaaaa aiseeeKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhahahaaaa aiseeeKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Wanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Ukiikubali asili yako,utapendwa na wengi.Hahha acha nipambane na rangi yangu, black is beauty ati! Wala sijawahi kujichukia walah.
Najipenda mpk naumwa.
Bila shaka wewe ni kining'ina wa mhenga aliyetuambia "mwamba ngoma ngozi huvutia kwake"Wewee chocolate ndo rangi zuri...maji ya kunde flani hivi..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bila shaka wewe ni kining'ina wa mhenga aliyetuambia "mwamba ngoma ngozi huvutia kwake"
Sana tu, acha niendelee kuringaUkiikubali asili yako,utapendwa na wengi.
Chombo lazima kipashwe moto bhana! Kikiwa cha moto! Ukichomeka tu, bao! Kwenye vikao vyao sasa utasikia aaah! Jamaa hajiwezi dakika 2 tu chali! Napenda white bana!Hiyo research yako ilihusisha wanaume wangapi huku mtaani kwetu wanaamini weusi wanakajoto poa na weupe cold blooded!! [emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app