Bushman2
Member
- Mar 18, 2017
- 49
- 20
Umeolewa?I'm not black ila naona watu wanavyohangaika kutumia chemicals ili wawe weupe. Ila weupe unavutia bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeolewa?I'm not black ila naona watu wanavyohangaika kutumia chemicals ili wawe weupe. Ila weupe unavutia bwana
Huyu amejua kunichekesha dahSio kwa kunichekesha huko mkuu.
Ila kwa kuwa moyo wako ndiko unakopenda kudondokea vumilia tu mkuu.
Hahahha asante kwa kunichekesha asb hii, salam tumezipata mkuu. Tutalifanyia kazi ombi lakoWanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Unataka kunioa?
Ahhhaah,kumbe sifaa jipe mwenyewe.Bila shaka wewe ni kining'ina wa mhenga aliyetuambia "mwamba ngoma ngozi huvutia kwake"
Sijaolewa... mahari napokea mwenyewe lakini.
Ni vizuri kuwapa haki yao wazazi.Sijaolewa... mahari napokea mwenyewe lakini.
Basi utawapatia mume mtarajiwa..
Si kila mtu anapenda Apple kisa mwonekano wake na lilivyo rahisi kulika, wengine hupenda nanasi ingawa lina mwonekano tofauti ba huhitaji maandalizi ya kumenywa vizuri ili lilike .... Anavyomshangaa asiyewahi kula Apple, ndivyo atakavyoshangaza wengine kwa kutowahi kula Nanasi na anakiongelea vibaya asichokijua ladha yake.Mwanamke mwenye sura nzuri,macho angavu,midomo laini,na pia anayejua kudeka indeed huongeza ashki katika mapenzi.
Kama huna/haujawahi kudate na mwanamke mweupe kisura pole sana,pambana na hali yako
Mtoto white humfanya mwanaume aonekane mjanja na mwenye sound
Haya honey! Napenda wanawake wasikivu.Basi utawapatia mume mtarajiwa..