Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Wanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Dah leo tumepata mtetezi?
 
Kweli mtoa mada nakubaliana na wewe asilimia zote watoto rangi nyeupe ni kila kitu Halafu ukute sio weupe wa dukani mashallah Napenda sana Mange kimambi na rangi yake sijui ntampataje?
Kwan mange mweupe?
 
5a93653c7d3a256d76825105f86fdd41.jpg
[emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Kweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf sikuhz imekua nomaa yan kukoment wa kwanza imekua dili
Saint Ivuga hujawah kushika no moja tokea ujiunge jf fanya juu chini uwe wa kwanza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf sikuhz imekua nomaa yan kukoment wa kwanza imekua dili
Saint Ivuga hujawah kushika no moja tokea ujiunge jf fanya juu chini uwe wa kwanza
Mi kila siku wa kwanza sema kuna mods wana kisirani kwa vile nina mtoto mzuri kama ww wanafuta post zangu hawataki niwe kama joverest
 
Back
Top Bottom