Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji8] [emoji8]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji8] [emoji8]
Siyo kweli.Kwenye sayansi ya mapenzi, mwanamke black afu natural wanakuwa na stimu zao hivi.
Unaweza wehuka
Dah leo tumepata mtetezi?Wanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Kwan mange mweupe?Kweli mtoa mada nakubaliana na wewe asilimia zote watoto rangi nyeupe ni kila kitu Halafu ukute sio weupe wa dukani mashallah Napenda sana Mange kimambi na rangi yake sijui ntampataje?
[emoji7] [emoji7] [emoji7]
Aisee mtu kama huyu akiwa home lazima uwahi kurudi gheto.
Usifanye hivo. Ujue sio vizuri. Mtu akupende ulivyo. Sio kufake fakendo maana tunajichubua
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijaolewa... mahari napokea mwenyewe lakini.
Sasa ukweli ni upi mkuuSiyo kweli.
From The UNITED STATES
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf sikuhz imekua nomaa yan kukoment wa kwanza imekua diliKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Mi kila siku wa kwanza sema kuna mods wana kisirani kwa vile nina mtoto mzuri kama ww wanafuta post zangu hawataki niwe kama joverest[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jf sikuhz imekua nomaa yan kukoment wa kwanza imekua dili
Saint Ivuga hujawah kushika no moja tokea ujiunge jf fanya juu chini uwe wa kwanza
Mahondaw ni nani?[emoji23] [emoji23] kwani mahondaw yukoje
[emoji23]ndo maana tunajichubua
Wacha sisi tupambane na hawa black mamba wetu maana ni sisi wenyewe tunajua utam tunaopata. Kitu motooooooo kama jiko la mkaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] Khaaa! [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Sijaolewa... mahari napokea mwenyewe lakini.