Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machine. Huyu ni miongoni mwa weupe tunaowazungumzia.![]()
Hapa vp mkuu?
Yaan km zali vileDah leo tumepata mtetezi?
Uongo huo, wembamba mbona tuko poa tu.Kitu black figure #8 n tumbo kdg awe bonge.... Kam mwandani wangu humu! Nkickia barid pa kwenda kujikunyatia papo.... Wanawake wembamba stress tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata sijui mkuu ila kuna mtu anaitwa smart911 huwa ana copy(cc) kwenye kila comentMahondaw ni nani?
Hivi huyu dada ni nan?. Huwa namuona kwenye avatar ya evelyn salt![]()
Hapa vp mkuu?
Mkuu hii ni chocolate colorMachine. Huyu ni miongoni mwa weupe tunaowazungumzia.
From The UNITED STATES
Sasa huyu ndio mahondaHivi huyu dada ni nan?. Huwa namuona kwenye avator ya evelyn salt
mleta mada ni mshamba tu mtindiga sijui wa wapi huko! wanawake black au chocolate color wengi wao wana akili sana na kujitambua wakati hao weupe wengi wao vice versa,fuatilia utagundua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa huyu ndio mahonda
Mimi sibanduki na Mirinda nyeusiMwanamke mwenye sura nzuri,macho angavu,midomo laini,na pia anayejua kudeka indeed huongeza ashki katika mapenzi.
Kama huna/haujawahi kudate na mwanamke mweupe kisura pole sana,pambana na hali yako
Mtoto white humfanya mwanaume aonekane mjanja na mwenye sound
Nilizaliwa mwaka waliopita nzige huku mtongani kwa aziz allyAseee....una umri gani mkuu...
Ndiyo mkuu,karibu sanaDah, yaani tunajadili wanawake weupe!!
....Vimbaumbau tena? NoooWanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
AahhhhhKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!