Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
But white is wonderful [emoji11][emoji11]Wala usiende huko kabisa, black is always beautiful.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But white is wonderful [emoji11][emoji11]Wala usiende huko kabisa, black is always beautiful.
But white is wonderful [emoji11][emoji11]
Yap,,sasa weusi iweje waponde weupe kuwa wabaridi,wakati hata kuna weusi wa baridi piaa hiyo dhana sijui walitoa wapi...and black is beautiful. Nakubaliana na wewe rangi zote ni bomba hata weupe pia kama ni weupe ule wa kuzaliwa na si wa mkorogo.
Yah black is beautyWala usiende huko kabisa, black is always beautiful.
Yap,,sasa weusi iweje waponde weupe kuwa wabaridi,wakati hata kuna weusi wa baridi piaa hiyo dhana sijui walitoa wapi
Kweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Wanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii
Kama me navopenda men weusi,...
Si ushaonja wa rangi zote hebu sema ukweliMh! mie hata siwezi kuingia kwenye hiyo mada ya wabaridi au wamoto hasa inapokuja kwa Waafrika wenye rangi kama Zari na walio weusi.
HahahahahahahaKweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Na mimi mkuu nimeamua kukupa 'like'kwa jitihada zako.Kweli kwenye maisha usikate tamaa,na mimi leo nimekuwa wa kwanza kucoment siamini!
Si ushaonja wa rangi zote hebu sema ukweli
Sawa naona unakimbiaa ahahhaNoooooo you did not go there! lol! Ndiyo sababu nikasema sitaki kwenda kwenye hiyo topic ya wabaridi na wamoto. Kwa maoni yangu wote bomba tu ila usisahau wahenga walisema, "Kipenda roho hula nyama kavu" lakini kwangu mimi wote ni bomba sana tu. Nawe una preference ya wanaume wenye rangi na wale weusi?