Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

...and black is beautiful. Nakubaliana na wewe rangi zote ni bomba hata weupe pia kama ni weupe ule wa kuzaliwa na si wa mkorogo.
Yap,,sasa weusi iweje waponde weupe kuwa wabaridi,wakati hata kuna weusi wa baridi piaa hiyo dhana sijui walitoa wapi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wala usiende huko kabisa, black is always beautiful.
Yah black is beauty
7fd530cca884881f8bcfed3d4b12cf79.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanawake wembamba ndo huwa wazuri na wanavutia sana kuwafanya wife.. Hata kama unatembea nae barabara unajihisi furaha moyoni.. Ila sasa ni wanaviburi alafu wakorofi balaa yaani kukusaliti haoni shida.. Tena ukute kembamba alafu alafu kana rangi ya chocolate... Uwiiiiiiiii hapo lazima ufe kabla ya siku ulizopangiwa na Mola.. Wanawake wembamba salam zenu popote mlipo ila punguzeni dharau baaaaasii


hahhhahh! team nyambizi oyeee
 
Mh! mie hata siwezi kuingia kwenye hiyo mada ya wabaridi au wamoto hasa inapokuja kwa Waafrika wenye rangi kama Zari na walio weusi.
Si ushaonja wa rangi zote hebu sema ukweli
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Noooooo you did not go there! lol! Ndiyo sababu nikasema sitaki kwenda kwenye hiyo topic ya wabaridi na wamoto. Kwa maoni yangu wote bomba tu ila usisahau wahenga walisema, "Kipenda roho hula nyama kavu" lakini kwangu mimi wote ni bomba sana tu. Nawe una preference ya wanaume wenye rangi na wale weusi?

Si ushaonja wa rangi zote hebu sema ukweli
 
Noooooo you did not go there! lol! Ndiyo sababu nikasema sitaki kwenda kwenye hiyo topic ya wabaridi na wamoto. Kwa maoni yangu wote bomba tu ila usisahau wahenga walisema, "Kipenda roho hula nyama kavu" lakini kwangu mimi wote ni bomba sana tu. Nawe una preference ya wanaume wenye rangi na wale weusi?
Sawa naona unakimbiaa ahahha

Mi mwanaume yeyote ili mradi handsome tu mwenye mvuto
Awe mweupe ,mweusii,maji ya kunde sawa tu ili mradi anivutie tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom