Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Mtoto anakuwa boarding maisha yake yote, huko hafanyi kazi yoyote, hafui wala kukimbia mchakamchaka, tumeiga mifumo ya wapi huko?
Na hapa ndipo chanzo cha kuharibu vijana wa nchi hii,
Mtoto ambaye hawezi kufanya kazi zaidi ya kukaa tu, atapata wapi uchungu wa nchi na maliasili zake?
Ataweza kufanya kazi gani zaidi ya kupiga pesa za wananchi
mtu asiyefanya kazi tangu utoto hulemaa kiakili na hawezi kuwa mbunifu popote zaidi ya kuwa mzigo kwenye taifa lake
Ndiyo hao watoto wanaouwa wazazi wao ili warithi baada ya kupigwa na ukali wa maisha
Na ndiyo hao wanaokuja kuwa viongozi wanaamini katika uganga badala ya uchapa kazi
Wizara ya Elimu, futeni huu utaratibu wa hovyo unaotamalaki sasa kwenye Taifa hili,
Wazazi wanaotaka watoto wao wasifanye kazi mashuleni, wapeleke watoto wao nje ya nchi!
Na hapa ndipo chanzo cha kuharibu vijana wa nchi hii,
Mtoto ambaye hawezi kufanya kazi zaidi ya kukaa tu, atapata wapi uchungu wa nchi na maliasili zake?
Ataweza kufanya kazi gani zaidi ya kupiga pesa za wananchi
mtu asiyefanya kazi tangu utoto hulemaa kiakili na hawezi kuwa mbunifu popote zaidi ya kuwa mzigo kwenye taifa lake
Ndiyo hao watoto wanaouwa wazazi wao ili warithi baada ya kupigwa na ukali wa maisha
Na ndiyo hao wanaokuja kuwa viongozi wanaamini katika uganga badala ya uchapa kazi
Wizara ya Elimu, futeni huu utaratibu wa hovyo unaotamalaki sasa kwenye Taifa hili,
Wazazi wanaotaka watoto wao wasifanye kazi mashuleni, wapeleke watoto wao nje ya nchi!