Kuwa wapenzi wa muda mrefu na hadi kufunga ndoa ni kitu kinavutia sana

Kuwa wapenzi wa muda mrefu na hadi kufunga ndoa ni kitu kinavutia sana

Nili date na mwanamke miaka saba mpaka tukafanana ,tulipewa majina kwamba sisi ni mapacha ila nilicho ambulia ni kadi yake ya send off pamoja na fedheha kibao,

Mimi kama mwanaume nilisononeka sana ila hakuna jinsi nimejifunza sana mwanamke siyo kiumbe kizuri ni hatari mno na hupaswi kumuweka akilini.

Mlio weza kudate muda mrefu na mkaoana na kuolewa nendeni mkatoe sadaka ya shukrani sawa sawa na imani zenu.

Shida ni kuwa muna wa hold muda mrefu for nothing

Anakufumania vya kutosha, suala la ndoa huzungumzii unampiga danadana…

Miaka 7 una date na mwanamke yote ya nini??? Kwanza mwanamke ataanza kuzeeka na wewe utamuona mbaya

Sisi huwa tunaangalia muelekeo tukiona huelewekii tunasepa
 
Niliambulia kuambiwa nashukru kwa muda wote tuliokaa pamoja. Naomba usihangaike kunitafuta endelea na maisha yako. ! Nilimjibu H' Mbona hunashukrani.

Niliumia sana kwa sababu hakuna sababu aliyoitoa ya kuachana. Miezi 3 baadaye kaolewa. [emoji3]

Kweli tunaowapenda ndiyo hao waletao maumivu.
Wanawake tuwape heshima yao[emoji3]

Mnajitafuta sana… ahadi zikiwa nyingi huwa tunachoka

Wewe oa tu maisha yatajileta baadae

Hivi umekaa na mwanamke Miaka 8 wewe una Miaka 35 yeye ana 33 then hujamuoa unamsubirishaa

Apate wa kumuoA chapu akataee [emoji849][emoji849]

Hebu kuweni seriously
 
Aiseeee siwezi kudate muda mrefu hivo mpk sasa haya ndio mahusiano yangu marefu nilionayo
 
Kuna ukweli hapa, me mke wangu tulianza kudeti 2003 wakati huo nipo form 2, tukaja kuoana 2013. Now tuna miaka 10 ya ndoa lkn miaka 20 ya mahusiano. Anasemaga ananijua kama kanizaa yeye [emoji3]
Very interesting....Inaonekana wote mnauvumilivu wa kiwango cha juu!
 
Mnajitafuta sana… ahadi zikiwa nyingi huwa tunachoka

Wewe oa tu maisha yatajileta baadae

Hivi umekaa na mwanamke Miaka 8 wewe una Miaka 35 yeye ana 33 then hujamuoa unamsubirishaa

Apate wa kumuoA chapu akataee [emoji849][emoji849]

Hebu kuweni seriously
Hahaha! Inawezekana kweli. Ila sio kwa miaka hiyo
 
Niliambulia kuambiwa nashukru kwa muda wote tuliokaa pamoja. Naomba usihangaike kunitafuta endelea na maisha yako. ! Nilimjibu H' Mbona hunashukrani.

Niliumia sana kwa sababu hakuna sababu aliyoitoa ya kuachana. Miezi 3 baadaye kaolewa. [emoji3]

Kweli tunaowapenda ndiyo hao waletao maumivu.
Wanawake tuwape heshima yao[emoji3]
Don't worry atavuna alichopanda. Kikubwa Muombe Mungu akuponye majeraha ya moyo. And move on
 
Kwa nini mlianza mapenzi katika umri mdogo?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ilitokea tu hivyo lkn hatukua tunajihusisha na sex mpaka nilipomaliza form 6. Muda mwingi niliutumia shule kwa sababu nilikua nasoma boarding hivyo ilikua rahisi kutoshawishika kuanza sex mapema
 
Back
Top Bottom