GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ushakua mjinga mjinga kbs siku hizi!! Hao wanasiasa wa chama ni yupi wa kumuamini? Na hapo upinzani hatujawah shika madaraka ukaharibu, lkn walioshika madarakani miongo na miongo still wanahangaika na matundu ya choo na kumtua mama ndoo ya maji ni wa kuwaamini?Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Makini sanaKuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Huyu zwazwa ni wale wa buku 7 kwa sikuHivi Popoma unapata hata muda wa kuwaogesha na kuwalisha watoto kweli?
Kama muda wa Kukusugua 'Nyabenga' lako hadi Unabeba Mimba zangu kila mwaka upo ( ninao ) nitakosa kweli wa kuyafanya haya mengine uliyoyataja na Kuyauliza hapa?Hivi Popoma unapata hata muda wa kuwaogesha na kuwalisha watoto kweli?
Tena ni aibu kubwa sn, wanaenda kuzindua choo na shangingi la milioni mia 4Ushakua mjinga mjinga kbs siku hizi!! Hao wanasiasa wa chama ni yupi wa kumuamini? Na hapo upinzani hatujawah shika madaraka ukaharibu, lkn walioshika madarakani miongo na miongo still wanahangaika na matundu ya choo na kumtua mama ndoo ya maji ni wa kuwaamini?
Ndiyo silaha yako hii ya kutukukana siyo! Nitakukata na hilo sikio lililibakia ili uwe na adabu.Kama muda wa Kukusugua 'Nyabenga' lako hadi Unabeba Mimba zangu kila mwaka upo ( ninao ) nitakosa kweli wa kuyafanya haya mengine uliyoyataja na Kuyauliza hapa?
Ukijaa katika 18 unapewa tu za Usoni.Ndiyo silaha yako hii ya kutukukana siyo! Nikutakata na hilo sikio lililibakia ili uwe na adabu.
Yah, kibaya zaid watu aina ya mleta mada wamekua wajinga jinga tu!!Tena ni aibu kubwa sn, wanaenda kuzindua choo na shangingi la milioni mia 4
Weee jamaa mada hii inathibitisha jinsi ulivyo mpumbavu.Kwamba watu muhimu kama Mbowe ,Lissu, Slaa hawana akili?Walau tumeona mchango wao wakiwa bungeni na nje na mambo wanayopigania yameleta impact kwenye marekebisho ya Sheria kadhaa.Sasa wewe mchango wako ni upi?Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Umeanza kuzeeka vibaya sasa...Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Unakumbuka mara yako ya mwisho Kumiliki Akili ambazo huna tokea Uzaliwe ilikuwa ni lini labda?Weee jamaa mada hii inathibitisha jinsi ulivyo mpumbavu.Kwamba watu muhimu kama Mbowe ,Lissu, Slaa hawana akili?Walau tumeona mchango wao wakiwa bungeni na nje na mambo wanayopigania yameleta impact kwenye marekebisho ya Sheria kadhaa.Sasa wewe mchango wako ni upi?
Ni zwazwa hilo achana naloYah, kibaya zaid watu aina ya mleta mada wamekua wajinga jinga tu!!
Na si kwamba anawaona mazuzu tu, bali anawaona wamefubaa.....yaani MABONTO. Jeuri sana yule jamaa na anawajulia sana aisee!!Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.