Kuwaamini Wanasiasa wa upinzani wa sasa Tanzania ya leo ni sawa na kukubali kuwa hauna kabisa Akili Kichwani

Kuwaamini Wanasiasa wa upinzani wa sasa Tanzania ya leo ni sawa na kukubali kuwa hauna kabisa Akili Kichwani

Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Ni kweli, acha tu tuwaamini wale waliosema watagawa milioni 50 Kila kijiji maana watoto wao wako hapa hapa.
 
Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Naona unamsakama bure Bw. Tundu Lissu, hakuna mwanasiasa yoyote ambaye ni mkweli.
Aidha, maneno 98 kati ya maneno 100 yanayotamkwa mdomoni mwa mtu Mwanasiasa unatakiwa umwachie yeye mwenyewe mtamkaji wa maneno kwa sababu maneno hayo ni ya uongo kwa asilimia mia moja. Chukua maneno 2 tu yafanyie kazi kwani hayo maneno mawili ndani yake huenda yakawa yana ukweli.
 
Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Wewe level yako ni kuandika mambo ya Simba na Yanga na mabwana zenu Gharib na Mo. Huna level ya kujua nje ya hapo. Baki huko huko kwenye misukule ya Gharib na Mo.
 
Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Vp yule aliyekuwa anawaita wanyonge? By the way kwanini wewe hujawa mwanasiasa na wanyonge wakuamini?
 
Kama kuna mtu anamuita huyu baba, huyo mtoto amekula hasara ni vile tu haiwezekani kukata rufaa kwa Mungu
Huwezi kamwe kujua Thamani ya Baba kwani Wewe Watoto wako Wote Umegongewa Nje Cup na sasa Unakuza tu Mbegu za Masela.
 
Mtu anayetukana jua kichwani kajaza makamasi. Jiulize kwanini wanakuta Popoma
Kwanini wananiita Popoma wakati Mwanzilishi wa Neno hili ni Mimi Mwenyewe GENTAMIYCINE nilipolibuni mwaka 2013 Mwezi November baada ya Kuyabuni maneno Mawili ya Lugha za Kizaramo na Kindengereko na nikayatohoa na kupata Neno Popoma likimaanisha Pumbavu / Mpumbavu.

Haya Waambie Taarifa hii na Wenzako wote ( hasa Wageni hapa JamiiForums ) kuwa Mimi GENTAMIYCINE ndiyo Mbunifu na Mwanzilishi wa Neno pendwa hili la Popoma.

Kudadadeki.
 
Weee jamaa mada hii inathibitisha jinsi ulivyo mpumbavu.Kwamba watu muhimu kama Mbowe ,Lissu, Slaa hawana akili?Walau tumeona mchango wao wakiwa bungeni na nje na mambo wanayopigania yameleta impact kwenye marekebisho ya Sheria kadhaa.Sasa wewe mchango wako ni upi?
kuna binadamu anakuzidi wewe kwa upumbavu? Angalia uliowataja, we ni zaidi ya pumbavu
 
Back
Top Bottom