Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tetetetetewe kima unajua hata maana ya bandari au unafuata mkumbo km nyumbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tetetetetewe kima unajua hata maana ya bandari au unafuata mkumbo km nyumbu
Naona umekuja tena kivingine?we poyoyo unapata hata muda wa kwenda kunya au unajinyea
Tatizo ni kufuata mtu / kumuamini mtu; badala ya kuangalia contents au anachokizungumzia au kukipigania kwa wakati huo....Kuna Mmoja wao kwa sasa Yeye, Mkewe na Watoto zake si Raia tena wa Tanzania ila Kutwa anazurula Mitaani na katika Media kutaka kuonyesha kuwa ana Machungu na Watanzania, anawapigania huku kila Siku Usiku Saa 3 anapiga au anapigiwa Simu na Kuongea kwa Furaha na Mtu Muhimu Tanzania huku akiwacheka na kuwaona Mazuzu ( Fools ) wale Wanaomuamini na Kumkubali.
Mimi siyo mgeni, najua kila kitu. Swali kwanini wewe umegeuka na kuitwa popoma wakati jina hili ulitunga wewe?Kwanini wananiita Popoma wakati Mwanzilishi wa Neno hili ni Mimi Mwenyewe GENTAMIYCINE nilipolibuni mwaka 2013 Mwezi November baada ya Kuyabuni maneno Mawili ya Lugha za Kizaramo na Kindengereko na nikayatohoa na kupata Neno Popoma likimaanisha Pumbavu / Mpumbavu.
Haya Waambie Taarifa hii na Wenzako wote ( hasa Wageni hapa JamiiForums ) kuwa Mimi GENTAMIYCINE ndiyo Mbunifu na Mwanzilishi wa Neno pendwa hili la Popoma.
Kudadadeki.