Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Na wewe umekuwa mnafiki siku hiziNashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
😍😍Nashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
Jikite kwenye mada.Na wewe umekuwa mnafiki siku hizi
Ila kubambikia kwako nibusaraNashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
FoolUnalipwa shilingi ngapi hapo nyuma ya keyboard
Magufuli alitawala kwa katiba na kwa amri zake.Nashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
Kama reference ya Jiwe kwako haitoshi basi Tanzania hakujawahi kuwa na Dicteta.Nashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
Acha unafiki tuJikite kwenye mada.
ashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
Magufuli alitawala kwa katiba na kwa amri zake.
Mtawala yeyote lazima awe dhalimu mkuu. Kwani Mwendazake hakuwa dhalimu, muuaji na mnyonya damu au unataka tu kujitoa ufahamu kwa makusudi?????Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.
Sasa hivi tuko vizuri sana!Alikuwa anafuata katiba pale inapomfavour yeye, kinyume na hapo alikuwa anafanya anavyotaka kutokana na ulevi wake wa madaraka.
Nashangaa sana watanzania tumekuwa watu wa kulaumu sana. Mara kila kiongozi anapoingia madarakani tunambambika majina ya kumpa udikteta, utasikia dhalimu, muuuaji mtekaji, na hata Dikteta uchwara.
Hivi tokea tupate uhuru tumekuwa na rais ambae amekuwa akitawala kwa amri zake? Kuwa akiamka asubuhi anaamrisha watu watekwe,wapigwe na kuweka curfew?
Je hii hii nchi haitawaliwi kwa misingi ya katiba ya JMT? Tuache kuwapaka matope watawala wetu.