Kuwaita wafadhili wetu “mabeberu”, kabla hatujaweza kujitegemea, ni ushamba unaoweza kuliangamiza Taifa tusipokuwa makini!

Kuwaita wafadhili wetu “mabeberu”, kabla hatujaweza kujitegemea, ni ushamba unaoweza kuliangamiza Taifa tusipokuwa makini!

Ndiyo. Mzee Nyerere aliwaita mabeberu wakaiangusha bei ya zao la mkonge halina bei hadi leo. Alipokuja Mzee Mwinyi akabadilisha jina wakawa wahisani au wafadhali, Mzee Mkapa akawaita wawekezaji. Mzee Kikwete akawaita wadau wa maendeleo sasa awamu hii tunaanza kurudi kule kule kwa Nyerere ambaye walimtaiti mpaka akaukimbia urais

..hapana.

..Mwalimu Nyerere alikiri kwamba alikosea kutaifisha mashamba ya mkonge.

..alikiri kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu ugumu wa serikali kuendesha kwa ufanisi sekta ya mkonge.

..lakini zaidi Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, " you have to use Capitalists to build Socialism.."

..Mwalimu alishirikiana na mataifa ya kijamaa, na vilevile alishirikiana na mataifa ya kibepari.
 
BEBERU sio matusi mzee ......kwa kiingrerza tunawaita imperialist....
Ndiyo maana tumepata changamoto kubwa sana kuhusiana na viongozi wakuu kusema wanatukanwa hata pale wanapokosolewa. Kuna tatizo la uelewa.

Kumpa sifa mbaya anayekusaidia siyo tusi eeh? Na sababu yenyewe ya kufanya hivyo hata haikuwepo. Tena ukizingatia na ushindi wa kura za mabegi?
 
Tulia basi unielemishe...maana ya beberu ni nini? Kwa jinsi linavyozungumzwa, ni kama tusi baya kabisa! La kutosha kabisa kuwashawishi wananchi wawachukie wafadhili na wahisani wao kabla ya kuweza kujitegemea?

Huo ubeberu wao na ukoloni mamboleo umeanza lini Tanzania? Niwekee mfano tafadhali.
Inasikitisha sana..
Sas unaandika Uzi mreefu kumbe kichwani KWEUPE..
unaandika tu utumbo..

Kama Shule ulienda kujaza Nafasi darasani sina cha kukusaidia..

NB; unachokitetea ni moja ya Element ya Ukoloni Mambo leo.. unatawaliwa kwa Kutumia Mlango wa Nyuma.. na watu kama nyinyi mpo wengi..
 
Ndiyo. Mzee Nyerere aliwaita mabeberu wakaiangusha bei ya zao la mkonge halina bei hadi leo. Alipokuja Mzee Mwinyi akabadilisha jina wakawa wahisani au wafadhali, Mzee Mkapa akawaita wawekezaji. Mzee Kikwete akawaita wadau wa maendeleo sasa awamu hii tunaanza kurudi kule kule kwa Nyerere ambaye walimtaiti mpaka akaukimbia urais
Hili bandiko lako, limebeba sababu kuu haswa ya Kwanini nilisema ni ushamba wa serikali hii! Kudos mkuu! Wale wasioelewa kiurahisi, hapa umewapa msaada mkubwa sana!
 
Inasikitisha sana..
Sas unaandika Uzi mreefu kumbe kichwani KWEUPE..
unaandika tu utumbo..

Kama Shule ulienda kujaza Nafasi darasani sina cha kukusaidia..

NB; unachokitetea ni moja ya Element ya Ukoloni Mambo leo.. unatawaliwa kwa Kutumia Mlango wa Nyuma.. na watu kama nyinyi mpo wengi..
Umeshindwa kujibu sasa umebakia kubwabwaja na kubweka bweka tu. Nadhani umegunduwa kuwa uelewa wako ni mdogo, lakini bado tu umeona ulazima wa kujibu.
 
Sasa kama hilo ndiyo tatizo, si usubiri uweze kwanza kujitegemea ndo uanze kutukana? Wengine kina USSR , wanasema siyo tusi, si unaona akili zenu zilivyo?
Unaweza kunitajia ELEMENTS kumi zinazoonesha Taifa linaweza kujitegemea..? Em nitajie ndg.. list tu
 
Umeshindwa kujibu sasa umebakia kubwabwaja na kubweka bweka tu. Nadhani umegunduwa kuwa uelewa wako ni mdogo, lakini bado tu umeona ulazima wa kujibu.
Endelea na hiyo Mindset yako.. Elimu ndg sana uliyonayo na ni mzigo ktk hili Taifa
 
Wabongo wanapenda kupetpet mambo.

Mfano neno zeruzeru lipo kwenye kamusi ya TUKI miaka yote ila kwa sasa wanasema ni unyanyapaa badala yake wanarukaruka tu mara,"albino" nalo wakaliacha,"ulemavu wa ngozi",wakaliacha,"wenye albinism" wakaliacha na sasa wanaita,"wenye upungufu wa melanin".

Kuukataa ukweli hakuufanyi uwe uongo bali ukweli uliokataliwa.

Wale jamaa ni mabeberu kwa matendo yao wala hawatukanwi ama kusingiziwa.
Matendo gani? Yaweke hapa tuyajadili, halafu tuone kama ni kweli yana “warranty” this current situation.
 
Unaweza kunitajia ELEMENTS kumi zinazoonesha Taifa linaweza kujitegemea..? Em nitajie ndg.. list tu
Unafahamu ni asilimia ngapi ya bajeti yetu ya Taifa inatoka kwa beberu?

Sasa kumbe na wewe unajifunza halafu hapo hapo unajidai unafahamu kila kitu? Kama jamaa aliyeko ikulu yuko hivi tu.

Kujifaraghua kwingi tu, sisi tunataka tuweze kujitegemea, lakini siyo kwa kupitia watu msiofahamu hata maana ya kujitegemea hadi utajiwe ten elements?
 
Endelea na hiyo Mindset yako.. Elimu ndg sana uliyonayo na ni mzigo ktk hili Taifa
Kama una elimu kubwa, itakuwa ni kukariri tu! Halafu eti una guts za kusema elimu yangu ni ndogo, lakini huna guts za kushangaa kupotezwa kwa Ben Saanane kwa ku doubt elimu ya kiongozi wa nchi.

Wewe unaweza kusema kwa uhakika kabisa kuwa akili yako inaweza kusaidia mtu mwingine yoyote zaidi yako wewe mwenyewe?
 
Unafahamu ni asilimia ngapi ya bajeti yetu ya Taifa inatoka kwa beberu?

Sasa kumbe na wewe unajifunza halafu hapo hapo unajidai unafahamu kila kitu? Kama jamaa aliyeko ikulu yuko hivi tu.

Kujifaraghua kwingi tu, sisi tunataka tuweze kujitegemea, lakini siyo kwa kupitia watu msiofahamu hata maana ya kujitegemea hadi utajiwe ten elements?
Umeulizwa swali unalikwepa kwa kuandika upuuzi. Huwenda hii ikawa Comment yangu ya mwisho.

Tanzania inajiweza mno.. hii nchi iache kama ilivyo huijui ilipotoka ilipo na inapokwenda kaa Kimya
 
Kosa walilolifanya CCM kusukumiza empty head tabulalasa to highest office litaisumbua Sana hii nchi .
 
Sasa wewe kumbe hata haufahamu matatizo ya kule kusini toka tutawaliwe na ccm tokea uhuru? Uvivu wa wengi wetu wa kufuatilia historia ya nchi yetu ndo tatizo. Kila siku ccm wanakuja na mtu mwingine anayekuwa rais, na yenyewe hapo hapo kujidai ni mpya.

Haufahamu manufaa ya serikali za majimbo? Je hayo manufaa hayawezi kuwa silaha mojawapo dhidi ya ugaidi?
 
Umeulizwa swali unalikwepa kwa kuandika upuuzi. Huwenda hii ikawa Comment yangu ya mwisho.

Tanzania inajiweza mno.. hii nchi iache kama ilivyo huijui ilipotoka ilipo na inapokwenda kaa Kimya
Huna hoja unaleta viroja! Iwe ya mwisho iwe ya kati who cares? Eti kaa kimya. The most stupid statement ever!
 
Beberu ni mbuzi dume linalojikojelea mikojo linanuka harufu mbaya sana ya mikojo
 
..hapana.

..Mwalimu Nyerere alikiri kwamba alikosea kutaifisha mashamba ya mkonge.

..alikiri kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu ugumu wa serikali kuendesha kwa ufanisi sekta ya mkonge.

..lakini zaidi Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, " you have to use Capitalists to build Socialism.."

..Mwalimu alishirikiana na mataifa ya kijamaa, na vilevile alishirikiana na mataifa ya kibepari.
Hii serikali ya ccm, naifananisha sana na ya Trump ambayo inaaga dunia taratibu lakini kwa uhakika kabisa.

Ukiona utawala unakuwa na chimbuko la ubaguzi, tambuwa wazi kuwa ni tamaa ya madaraka! Hilo tu! Huwa wanasingizia mambo ambayo ni ya uongo, na hatari kwa usalama wa Taifa, lakini hawajali.
 
Ni elimu yako ndogo tu ndio inakufanya uone neno beberu ni tusi ,malaumu babako kwa kushindwa kukupa elimu ya kutosha

Capitalism -ubapari
Capitalist -bepari
Imperialism -ubeberu
Imperialist -beberu
Socialism -ujamaa
Socialist -mjamaa

Kwa kuwa wao hutuita wajamaa nasi tunawaita mabeberu (imperialists -mabaeberu)

Imperialism is highest level of capitalism -ubeberu ni ubepari uliokomaa

USSR
muda gani beberu anakuwa beberu na muda gani anakuwa mfadhiri
 
Back
Top Bottom