Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we unaamini viongozi wetu wanafata Sera za ujamaaNi elimu yako ndogo tu ndio inakufanya uone neno beberu ni tusi ,malaumu babako kwa kushindwa kukupa elimu ya kutosha
Capitalism -ubapari
Capitalist -bepari
Imperialism -ubeberu
Imperialist -beberu
Socialism -ujamaa
Socialist -mjamaa
Kwa kuwa wao hutuita wajamaa nasi tunawaita mabeberu (imperialists -mabaeberu)
Imperialism is highest level of capitalism -ubeberu ni ubepari uliokomaa
USSR
Duniani huwezi kujitetea hata kama una uwezo wa kifedha bado kuna huduma au bidhaa utazipata kwa mtu ambaye ni masikiniWanajamvi,
kuwaita wafadhili wako na wahisani “mabeberu”, na kuitumia hiyo kauli mbiu kwenye siasa, ni sawa na kuwalisha chuki wananchi dhidi ya wafadhili, kwa maslahi ya kisiasa ya binafsi na chama. Huu ni ushamba mkubwa na wa hatari kabisa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Ningeunga mkono jitihada hizo za kumtukana mamba, endapo ningeona kuwa tumeshauvuka mto!
Hili ni ushamba kwasababu ni la kujitakia tu. Sawasawa kabisa na kujipiga risasi ya mguu mwenye huku ukichekelea! Sasa kama kura zote ziliibiwa kiasi hicho, na hili wahusika walilifahamu hata kabla ya kampeni kuanza, kulikuwa na sababu gani sasa za kuweka uadui dhidi ya wafadhili na wahisani kwa kuwaita mabeberu wenye nia mbaya na maendeleo ya Taifa letu? Tena hata wakati wa kuwazungumzia wagombea wengine
Matokeo yoyote yamabaya kwa Taifa letu, yatakuwa yamesababishwa na genge la uhalifu na kigaidi linalojificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa!
Sioni jambo lolote kubwa ambalo limebadilika kutoka tawala za ccm zilizopita, zaidi ya jitihada za kuzima sauti mbadala na zenye kufichuwa ufisadi. Hivyo genge hilo, linatumia propaganda ya mabeberu, na kuligawa Taifa kwa tamaa zao!
Uzalendo kwa Taifa, ni kuiondoa na kuikataa CCM kwa nguvu zetu zote. Hapo ndipo Taifa litapona, siyo kinyume chake.
Sasa tunaona hata tatizo la ugaidi ambapo CCM hawana njia ya kukwepa lawama.
Sehemu ambazo ugaidi hukuwa, maisha ya wananchi wa maeneo hayo na haswa vijana huwa magumu sana, na hivyo kuwa rahisi kuingia kwenye ugaidi.
Hili suala na sehemu nyingi tu Tanzania, lingeweza kumalizwa na muundo mpya wa serikali. Hapa ya majimbo ingefaa zaidi.
Kwasababu wananchi huwa wanajiskia hiruna kunufaika na rasilimali zinazowazunguka, na hivyo kuwaletea maendeleo yanayoleta unafuu kwenye maisha yao ya kila siku.
Lakini ccm wamezoea kukusanya tu mapato na kufanya ufisadi bila kuwajali wananchi. Kwingine inawalazimisha wananchi wawe na itikadi ya ccm ndipo wapelekewe maendeleo. Je ina maana hayo maeneo haya kuwepo wakati wa chama kimoja?
Sasa ukizingatia kuwa tunaweza kuwekewa vikwazo, kwasababu ya yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu, pamoja na jitihada za kuminya demokrasia, watakaoendelea kuteseka bila sababu ni wananchi ambao wengi ni masikini.
Umemaliza mkuu,Ni elimu yako ndogo tu ndio inakufanya uone neno beberu ni tusi ,malaumu babako kwa kushindwa kukupa elimu ya kutosha
Capitalism -ubapari
Capitalist -bepari
Imperialism -ubeberu
Imperialist -beberu
Socialism -ujamaa
Socialist -mjamaa
Kwa kuwa wao hutuita wajamaa nasi tunawaita mabeberu (imperialists -mabaeberu)
Imperialism is highest level of capitalism -ubeberu ni ubepari uliokomaa
USSR
Yeah ndio maana hayo mataifa makubwa yana mahusiano NASI...Duniani huwezi kujitetea hata kama una uwezo wa kifedha bado kuna huduma au bidhaa utazipata kwa mtu ambaye ni masikini
Wameshindwa kuwahudumia wananchi. Wameshindwa kuwaondoa kwenye umasikini wa kutupwa. Wanawadanganya kuwa umasikini wao umesababishwa na mabeberu wanaoshirikiana na upinzani. Wako radhi kubakia madarakani na kuwatumia wananchi kwa manufaa yao binafsi huku wakitetea chama ambacho kipo madarakani tokea uhuru.USAID help us ARV(antiretrovirus drugs) for free of charge....
Kule kwao KICHUPA kimoja cha Vidonge 100 ni dola 300....imagine?!!!
Can we afford to produce it?!!
Can we afford to distribute to our CITIZENS for free?!!!!
How about drugs against Tuberculosis(TB)?!!!
Though am not supporting each and everything they do against third world countries but through globalization they are the most dearest FRIENDS than CHINESE...look at MKAPA FOUNDATION on health....
Look on what they help us fighting against Porchers in our game reserves?!!!
Can Chinese support us the same as US and our European counterpart does....?!!!!
1.DANIDA
2.SIDA
3.GTZ
4.USAID
5.NORPLAN
6.FINLAND et al
Though we stand as NATIONALISTS but we should RESERVE our words against these DEVELOPMENT PARTNERS and not what honourable Gwajima SAID today....
Kuna ubepari na ubapari ulio komaa..ebu fafanua vizuri umekomaa vipi..?Ni elimu yako ndogo tu ndio inakufanya uone neno beberu ni tusi ,malaumu babako kwa kushindwa kukupa elimu ya kutosha
Capitalism -ubapari
Capitalist -bepari
Imperialism -ubeberu
Imperialist -beberu
Socialism -ujamaa
Socialist -mjamaa
Kwa kuwa wao hutuita wajamaa nasi tunawaita mabeberu (imperialists -mabaeberu)
Imperialism is highest level of capitalism -ubeberu ni ubepari uliokomaa
USSR
Hivi unafahamu mwenyekiti wenu siyo tu ni “narcissist”, lakini pia ni mtu mwenye kubagua bagua tu. Ni mbaguzi wa kila namna. Yeye na Trumper ni sawa kabisa.
Wewe endelea kuota tu, eti maendeleo yatakuja na ufadhili. Tumefadhiliwa tangu tulipopata uhuru, lakini 2015 hapajakuwa na meandeleo yoyote. Nchi zilizokuwa nyuma ka,ma Korea Kusini, malaysia, Vietnam, etc zote zimeendelea kwa kutumia pesa za ndani tu. Wewe bado unatamani na kung'ang'ania kufadhili. Wewe ni sawea na baba wa familia anayeshindwa kulisha familia yake akitegemea misaada na kuhemea kutoka kwa ndugu na marafiki. ebu angalia kutegemea kwetu mapato ya ndani kumetufikisha wapi katika miaka mitano (UCHUMI WA KATI).Mtu mwenye aklili na kutaka kuendelea ataendelea tu kwa kutotegemea misaada peke yake. Kwanza hata hiyo misaada huwa ina masharti ya kuturudisha nyuma wakatyi mwingine. Jitegemee kwanza, mikopo iwe ni pla two.Wanajamvi,
kuwaita wafadhili wako na wahisani “mabeberu”, na kuitumia hiyo kauli mbiu kwenye siasa, ni sawa na kuwalisha chuki wananchi dhidi ya wafadhili, kwa maslahi ya kisiasa ya binafsi na chama. Huu ni ushamba mkubwa na wa hatari kabisa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Ningeunga mkono jitihada hizo za kumtukana mamba, endapo ningeona kuwa tumeshauvuka mto!
Hili ni ushamba kwasababu ni la kujitakia tu. Sawasawa kabisa na kujipiga risasi ya mguu mwenye huku ukichekelea! Sasa kama kura zote ziliibiwa kiasi hicho, na hili wahusika walilifahamu hata kabla ya kampeni kuanza, kulikuwa na sababu gani sasa za kuweka uadui dhidi ya wafadhili na wahisani kwa kuwaita mabeberu wenye nia mbaya na maendeleo ya Taifa letu? Tena hata wakati wa kuwazungumzia wagombea wengine
Matokeo yoyote yamabaya kwa Taifa letu, yatakuwa yamesababishwa na genge la uhalifu na kigaidi linalojificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa!
Sioni jambo lolote kubwa ambalo limebadilika kutoka tawala za ccm zilizopita, zaidi ya jitihada za kuzima sauti mbadala na zenye kufichuwa ufisadi. Hivyo genge hilo, linatumia propaganda ya mabeberu, na kuligawa Taifa kwa tamaa zao!
Uzalendo kwa Taifa, ni kuiondoa na kuikataa CCM kwa nguvu zetu zote. Hapo ndipo Taifa litapona, siyo kinyume chake.
Sasa tunaona hata tatizo la ugaidi ambapo CCM hawana njia ya kukwepa lawama.
Sehemu ambazo ugaidi hukuwa, maisha ya wananchi wa maeneo hayo na haswa vijana huwa magumu sana, na hivyo kuwa rahisi kuingia kwenye ugaidi.
Hili suala na sehemu nyingi tu Tanzania, lingeweza kumalizwa na muundo mpya wa serikali. Hapa ya majimbo ingefaa zaidi.
Kwasababu wananchi huwa wanajiskia hiruna kunufaika na rasilimali zinazowazunguka, na hivyo kuwaletea maendeleo yanayoleta unafuu kwenye maisha yao ya kila siku.
Lakini ccm wamezoea kukusanya tu mapato na kufanya ufisadi bila kuwajali wananchi. Kwingine inawalazimisha wananchi wawe na itikadi ya ccm ndipo wapelekewe maendeleo. Je ina maana hayo maeneo haya kuwepo wakati wa chama kimoja?
Sasa ukizingatia kuwa tunaweza kuwekewa vikwazo, kwasababu ya yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu, pamoja na jitihada za kuminya demokrasia, watakaoendelea kuteseka bila sababu ni wananchi ambao wengi ni masikini.
Hata wanaotoa kauli hizo, wanajua wanazitoa kisiasa.Wanajamvi,
kuwaita wafadhili wako na wahisani “mabeberu”, na kuitumia hiyo kauli mbiu kwenye siasa, ni sawa na kuwalisha chuki wananchi dhidi ya wafadhili, kwa maslahi ya kisiasa ya binafsi na chama. Huu ni ushamba mkubwa na wa hatari kabisa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Ningeunga mkono jitihada hizo za kumtukana mamba, endapo ningeona kuwa tumeshauvuka mto!
Hili ni ushamba kwasababu ni la kujitakia tu. Sawasawa kabisa na kujipiga risasi ya mguu mwenye huku ukichekelea! Sasa kama kura zote ziliibiwa kiasi hicho, na hili wahusika walilifahamu hata kabla ya kampeni kuanza, kulikuwa na sababu gani sasa za kuweka uadui dhidi ya wafadhili na wahisani kwa kuwaita mabeberu wenye nia mbaya na maendeleo ya Taifa letu? Tena hata wakati wa kuwazungumzia wagombea wengine
Matokeo yoyote yamabaya kwa Taifa letu, yatakuwa yamesababishwa na genge la uhalifu na kigaidi linalojificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa!
Sioni jambo lolote kubwa ambalo limebadilika kutoka tawala za ccm zilizopita, zaidi ya jitihada za kuzima sauti mbadala na zenye kufichuwa ufisadi. Hivyo genge hilo, linatumia propaganda ya mabeberu, na kuligawa Taifa kwa tamaa zao!
Uzalendo kwa Taifa, ni kuiondoa na kuikataa CCM kwa nguvu zetu zote. Hapo ndipo Taifa litapona, siyo kinyume chake.
Sasa tunaona hata tatizo la ugaidi ambapo CCM hawana njia ya kukwepa lawama.
Sehemu ambazo ugaidi hukuwa, maisha ya wananchi wa maeneo hayo na haswa vijana huwa magumu sana, na hivyo kuwa rahisi kuingia kwenye ugaidi.
Hili suala na sehemu nyingi tu Tanzania, lingeweza kumalizwa na muundo mpya wa serikali. Hapa ya majimbo ingefaa zaidi.
Kwasababu wananchi huwa wanajiskia hiruna kunufaika na rasilimali zinazowazunguka, na hivyo kuwaletea maendeleo yanayoleta unafuu kwenye maisha yao ya kila siku.
Lakini ccm wamezoea kukusanya tu mapato na kufanya ufisadi bila kuwajali wananchi. Kwingine inawalazimisha wananchi wawe na itikadi ya ccm ndipo wapelekewe maendeleo. Je ina maana hayo maeneo haya kuwepo wakati wa chama kimoja?
Sasa ukizingatia kuwa tunaweza kuwekewa vikwazo, kwasababu ya yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu, pamoja na jitihada za kuminya demokrasia, watakaoendelea kuteseka bila sababu ni wananchi ambao wengi ni masikini.
Wewe utakuwa bwege kweli. China imeendelea sana! Nani kakuambia?China imeendelea sana
Ilipewa misaada?
Badilisha mtazamo
Umatonya ni fikra mgando
Hivi wewe utajisikia vipi, ukitaka msaada mtui anasema atakusadia lakini lazima ukubali ahoji jinsi wewe unavyoendesha mambo ya familia yako. Wakati ni kweli haki za binadamu ni tatizo kubwa duniani lakini kuna haki gani nchi matajiri kuhoji hayo wakati wao nchini mwao hakuna anayeweza kuwahoji! Hivi wewe unajuwa kuwa Marekani, Chinas, Ulaya yote, Canada, Australia, Neswzealand huwa hawahojiwi kuhusu haki za binadamu. Hivi wewe unajuwa kuwa Mmarekani yeyote hawawezi kushtakiwa kwenye korti ya dunia ya The Hague. Kama kuna nchi yenye kukiuka hgaki zaq binadamu, Marekani inaongoza. Hii ni pamoja na ndani (jinsi inavyowatendea watu weusi na wageni toka dunia ya tatu hasa Waislamu) na nje (majeshi ya Maarekani yanayopigana nje na kuhusika na vifo vya raia maelfu lakini wana kinga ya kushtakiwa kwenye korti ya dunia). Mambo kama haya ni dhahiri kuwa Maarekani inajuwa inakiuka haki za binadamu na ndiyo maana katika mikataba yake yote inajipa kinga ya watu wake kushtakiwa kwenye korti kama ile ya The Hague.Kiufupi wakitoa misaada ni wahisaninwa maendeleo..ila wakihoji kuhusu demokrasia..utawala bora na haki za binadamu ndio wanaitwa mabeberu..[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119] kuwa mataga ni laana kwa nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Baada ya kichapo cha mbwa mtu kwenye box la kura naona unaibuka na nyuzi za kitoto. Unajua nini maana ya Beberu? Unadhani kila mfadhili ni Beberu. Unafahamu dhana nzima ya Imperialism? Tumia akili zako unapofanya ukosoaji wa kiuchambuzi.Wanajamvi,
kuwaita wafadhili wako na wahisani “mabeberu”, na kuitumia hiyo kauli mbiu kwenye siasa, ni sawa na kuwalisha chuki wananchi dhidi ya wafadhili, kwa maslahi ya kisiasa ya binafsi na chama. Huu ni ushamba mkubwa na wa hatari kabisa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.
Ningeunga mkono jitihada hizo za kumtukana mamba, endapo ningeona kuwa tumeshauvuka mto!
Hili ni ushamba kwasababu ni la kujitakia tu. Sawasawa kabisa na kujipiga risasi ya mguu mwenye huku ukichekelea! Sasa kama kura zote ziliibiwa kiasi hicho, na hili wahusika walilifahamu hata kabla ya kampeni kuanza, kulikuwa na sababu gani sasa za kuweka uadui dhidi ya wafadhili na wahisani kwa kuwaita mabeberu wenye nia mbaya na maendeleo ya Taifa letu? Tena hata wakati wa kuwazungumzia wagombea wengine
Matokeo yoyote yamabaya kwa Taifa letu, yatakuwa yamesababishwa na genge la uhalifu na kigaidi linalojificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa!
Sioni jambo lolote kubwa ambalo limebadilika kutoka tawala za ccm zilizopita, zaidi ya jitihada za kuzima sauti mbadala na zenye kufichuwa ufisadi. Hivyo genge hilo, linatumia propaganda ya mabeberu, na kuligawa Taifa kwa tamaa zao!
Uzalendo kwa Taifa, ni kuiondoa na kuikataa CCM kwa nguvu zetu zote. Hapo ndipo Taifa litapona, siyo kinyume chake.
Sasa tunaona hata tatizo la ugaidi ambapo CCM hawana njia ya kukwepa lawama.
Sehemu ambazo ugaidi hukuwa, maisha ya wananchi wa maeneo hayo na haswa vijana huwa magumu sana, na hivyo kuwa rahisi kuingia kwenye ugaidi.
Hili suala na sehemu nyingi tu Tanzania, lingeweza kumalizwa na muundo mpya wa serikali. Hapa ya majimbo ingefaa zaidi.
Kwasababu wananchi huwa wanajiskia hiruna kunufaika na rasilimali zinazowazunguka, na hivyo kuwaletea maendeleo yanayoleta unafuu kwenye maisha yao ya kila siku.
Lakini ccm wamezoea kukusanya tu mapato na kufanya ufisadi bila kuwajali wananchi. Kwingine inawalazimisha wananchi wawe na itikadi ya ccm ndipo wapelekewe maendeleo. Je ina maana hayo maeneo haya kuwepo wakati wa chama kimoja?
Sasa ukizingatia kuwa tunaweza kuwekewa vikwazo, kwasababu ya yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu, pamoja na jitihada za kuminya demokrasia, watakaoendelea kuteseka bila sababu ni wananchi ambao wengi ni masikini.