Kuwaita wafadhili wetu “mabeberu”, kabla hatujaweza kujitegemea, ni ushamba unaoweza kuliangamiza Taifa tusipokuwa makini!

Kuwaita wafadhili wetu “mabeberu”, kabla hatujaweza kujitegemea, ni ushamba unaoweza kuliangamiza Taifa tusipokuwa makini!

Elimu yako kubwa ndiyo imekufanya uone siyo tusi? Hivi kama wewe siyo kilaza wahed, hapa sijui umlaumu mamako? Mkapiga risasi mnayesema anashirikiana na “siyo tusi”. Wewe akili yako inakutosha wewe peke yako tu. Hapa unaniwekea usiku tu.
Beberu ni mfumo wa kiuongozi sio tusi. Kuna wajamaa(socialist) na mabeberu(imperialist ). Beberu ubepari uliokomaa. Beberu sio tusi
 
muda gani beberu anakuwa beberu na muda gani anakuwa mfadhiri
Hatoweza kujibu hilo, kwasababu wanafahamu ni uongo wanaowalisha wananchi! Lakini wananchi walikataa, sema nguvu imetumika na wizi mkubwa wa kihistoria!

Hilo la mabeberu, wanalitumia ili waweze kutumia dola na nguvu ya jeshi pamoja na usalama wa Taifa! Njia pekee ya ccm kubakia madarakani!
 
Wanajamvi,

kuwaita wafadhili wako na wahisani “mabeberu”, na kuitumia hiyo kauli mbiu kwenye siasa, ni sawa na kuwalisha chuki wananchi dhidi ya wafadhili, kwa maslahi ya kisiasa ya binafsi na chama. Huu ni ushamba mkubwa na wa hatari kabisa kwa maslahi ya Taifa la Tanzania.

Ningeunga mkono jitihada hizo za kumtukana mamba, endapo ningeona kuwa tumeshauvuka mto!

Hili ni ushamba kwasababu ni la kujitakia tu. Sawasawa kabisa na kujipiga risasi ya mguu mwenye huku ukicheSasa kama kura zote ziliibiwa kiasi hicho, kulikuwa na sababu gani sasa za kuweka uadui dhidi ya wafadhili na wahisani kwa kuwaita mabeberu wenye nia mbaya na maendeleo ya Taifa letu?

Matokeo yoyote yake mabaya kwa Taifa letu, yatakuwa yamesababishwa na genge la uhalifu na kigaidi linalojificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa!

Sioni jambo lolote kubwa ambalo limebadilika kutoka tawala za ccm zilizopita, zaidi ya jitihada za kuzima sauti mbadala na zenye kufichuwa ufisadi. Hivyo genge hilo, linatumia propaganda ya mabeberu, na kuligawa Taifa kwa tamaa zao!

Uzalendo kwa Taifa, ni kuiondoa na kuikataa ccm kwa nguvu zetu zote. Hapo ndipo Taifa litapona, siyo kinyume chake.

Sasa tunaona hata tatizo la ugaidi ambapo ccm hawana njia ya kukwepa lawama. Sehemu ambazo ugaidi hukuwa, maisha ya wananchi wa maeneo hayo na haswa vijana huwa magumu sana, na hivyo kuwa rahisi kuingia kwenye ugaidi. Hili suala na sehemu nyingi tu Tanzania, lingeweza kumalizwa na muundo mpya wa serikali. Hapa ya majimbo ingefaa zaidi. Kwasababu wananchi huwa wanajiskia na kunufaika na rasilimali zinazowazunguka, na hivyo kuwaletea maendeleo yanayoleta unafuu kwenye maisha yao ya kila siku.

Lakini ccm wamezoea kukusanya tu mapato na kufanya ufisadi bila kuwajali wananchi. Kwingine inawalazimisha wananchi wawe na itikadi ya ccm ndipo wapelekewe maendeleo. Je ina maana hayo maeneo haya kuwepo wakati wa chama kimoja?
Are you really serious jmushi 1? Hawa sio wafadhili wetu,ni wezi na watesi wetu,wake up guys.Halafu unawaremba,eti "wafadhili wetu" dah!Kweli wajinga ndio waliwao.Watch and listen to the following clip uone ukweli wa hao unaowaita "wafadhili wako."



 
Beberu ni mfumo wa kiuongozi sio tusi. Kuna wajamaa(socialist) na mabeberu(imperialist ). Beberu ubepari uliokomaa. Beberu sio tusi
Hilo ndilo jina linalotumika pale unapokuja ule uongo wa “vita ya kiuchumi” dhidi ya wafadhili wako? Hivi hufahamu sababu za watu kupotezwa hovyo hovyo kwa kutumia vyombo vya dola? Tangu lini jina lenye uadui huo lisiwe tusi na wakati huo huo linaleta ladha hiyo linapotumika kwa minajili ya kisiasa?
 
Beberu ni mfumo wa kiuongozi sio tusi. Kuna wajamaa(socialist) na mabeberu(imperialist ). Beberu ubepari uliokomaa. Beberu sio tusi
Sasa huo mfumo wa kiuogozi, ndiyo unahusianaje na wao kwenye uchaguzi wetu hadi kufanya kila jambo zuri liloongelewa na Upinzani lionekane kuwa ni baya kwa wananchi kwasababu ya “mabeberu” wanaotaka uchaguzi wa huru na haki, Pia demokrasia ya vyama vingi?
 
Ni elimu yako ndogo tu ndio inakufanya uone neno beberu ni tusi ,malaumu babako kwa kushindwa kukupa elimu ya kutosha

Capitalism -ubapari
Capitalist -bepari
Imperialism -ubeberu
Imperialist -beberu
Socialism -ujamaa
Socialist -mjamaa

Kwa kuwa wao hutuita wajamaa nasi tunawaita mabeberu (imperialists -mabaeberu)

Imperialism is highest level of capitalism -ubeberu ni ubepari uliokomaa

USSR
Kuna kitu nataka ku'post' lakini nimeshakifuta mara tatu. Ngoja nikiache tu.
 
Are you really serious jmushi 1? Hawa sio wafadhili wetu,ni wezi na watesi wetu,wake up guys.Halafu unawaremba,eti "wafadhili wetu" dah!Kweli wajinga ndio waliwao.Watch and listen to the following clip uone ukweli wa hao unaowaita "wafadhili wako."




Wengi ambao hawapendi, kwa Africa ni dictators. Ndiyo maana wao hupendelea China zaidi. Au unadhani wafadhili ndiyo kwamba hawako? Ni uchaguzi tu wa serikali.

Pia ni wazi hukunielewa vyema ninaposema “ushamba”, ni kumtukana mamba kabla hujavuka mto. Otherwise hakukuwepo kabisa na haja ya kuingiza Taifa kwenye figisu na wananchi wengi kwenye taabu zaidi.
 
Ndiyo maana tumepata changamoto kubwa sana kuhusiana na viongozi wakuu kusema wanatukanwa hata pale wanapokosolewa. Kuna tatizo la uelewa.

Kumpa sifa mbaya anayekusaidia siyo tusi eeh? Na sababu yenyewe ya kufanya hivyo hata haikuwepo. Tena ukizingatia na ushindi wa kura za mabegi?
Kama unakumbuka ...kuna kampun moja la ki British liliitwa "IBEACo. Means ....imperial.. British east Africa company ..... hapo umeona neno imperial kwa kiswahil ni BEBERU.....so hata wnyw wananajijua kuwa ni MABEBERU
 
Unajua maana ya BEBERU? why tusiwaite hivyo hali ya kuwa ni kwel Mabeberu? Nawasiwasi na Elimu yako.. huwenda huufahamu Ukoloni ni nini.. na wala hujui Ukoloni mambo leo ni kitu gani..

Inasikitisha
Nimekuwa nikiona watoa Mada wanaopiga vita Ubeberu ila sijabahatika kukuta anayetoa clear definition ya Beberu.Unaweza kutusaidia majina/utambulisho wa Mabeberu ili sisi sote tumtambue huyu adui tishio kwa maendeleo ya nchi yetu ya Tanzania na Afrika kiujumla.
 
Mbona wao huwa wanatuita sisi masikini/fukara/dunia ya tatu?
 
Tulia basi unielemishe...maana ya beberu ni nini? Kwa jinsi linavyozungumzwa, ni kama tusi baya kabisa! La kutosha kabisa kuwashawishi wananchi wawachukie wafadhili na wahisani wao kabla ya kuweza kujitegemea?

Huo ubeberu wao na ukoloni mamboleo umeanza lini Tanzania? Niwekee mfano tafadhali.
wafadhili sijui jina gani bibi zenu,etc huo ujinga ni hukohuko cdm,sisi wazungu kina trump na wenzake wote mabeberu hutaki bwekaa tena 😂😊
 
Unajua maana ya BEBERU? why tusiwaite hivyo hali ya kuwa ni kwel Mabeberu? Nawasiwasi na Elimu yako.. huwenda huufahamu Ukoloni ni nini.. na wala hujui Ukoloni mambo leo ni kitu gani..

Inasikitisha
Mabeberu ni nani tupe maana ya mabeberu?
 
Unajua maana ya BEBERU? why tusiwaite hivyo hali ya kuwa ni kwel Mabeberu? Nawasiwasi na Elimu yako.. huwenda huufahamu Ukoloni ni nini.. na wala hujui Ukoloni mambo leo ni kitu gani..

Inasikitisha
Ukolon mambo leo unaongozwa na genge la wahuni ccm
 
wafadhili sijui jina gani bibi zenu,etc huo ujinga ni hukohuko cdm,sisi wazungu kina trump na wenzake wote mabeberu hutaki bwekaa tena 😂😊
Hivi unafahamu mwenyekiti wenu siyo tu ni “narcissist”, lakini pia ni mtu mwenye kubagua bagua tu. Ni mbaguzi wa kila namna. Yeye na Trumper ni sawa kabisa.
 
Mbona wao huwa wanatuita sisi masikini/fukara/dunia ya tatu?
Wana ubavu huo kwasasa! Hata mimi nilichukia sana Trumper aliposema sisi ni “shit hole” nations! Na kweli kwa siasa zetu unadhani siyo?
 
Beberu ni mfumo wa kiuongozi sio tusi. Kuna wajamaa(socialist) na mabeberu(imperialist ). Beberu ubepari uliokomaa. Beberu sio tusi
Mkuu..

Unasema ubeberu ni ubepari iliokomaa?!!

Na IMPERIALISM ni nini?!!!

Je si tusi kumuita mtu imperialist?!!

Sijui tunafurahishana tu hapa....
 
Back
Top Bottom