Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Hoja ya msingi ilikuwa the fact kwamba Urusi inawashirika wengi mstari wa mbeleVifo ni kawaida uwanja WA Vita ila sahauni hayo maeneo mapya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ya msingi ilikuwa the fact kwamba Urusi inawashirika wengi mstari wa mbeleVifo ni kawaida uwanja WA Vita ila sahauni hayo maeneo mapya.
Hata Marekani alipigwa na Vietnam lakini haiondoi ukweli kuwa ndio taifa la kwanza kwa nguvu za kijeshi ulimwenguni.Misri huyu huyu aliyepigwa na Israel?
Ukraine yuko vizuri saaana na mbinu zake za mapambano zinawafedhehesha warusi kwa namna anayo hit target ambazo hawafikirii kuwa angeweza kuzifikia. Kipigo cha hivi punde cha Krimea na manowali za kijeshi za urusi kimewafeddhehesha warusi. Kwa sasa warusi wanaikimbia krimea kwa kuhofia kupoteza maishaNyie si mnasema Ukraine ni dhaifu?Leo mmebadilika
Itakuwa kwenye alkasusu.Hehehe haya madude huwa mnaaminishana wapi haswa, vijiweni au kwenye misikiti...
Watu wa magharibi sio wazuri kamwe, kwanza niwepesi lalamika na wakati huo wanakujaza ujione unawakomesha kumbe ground Wana set mipango mikali, leo jeshi la Ukrain , sio la kitoto tena ,ila Ndo Hawa walimsifia Urus , kwamba Wana uwezo wa kumchakaza Ukrein for 2week , nao Urus wakaja na ya masaaa 72, Nato na washirika wake sio watu wazuri aisee, wanakula na kupulizaMnaoishabikia Urusi muendelee kupata aibu, kataifa namba 22 kamezingua hadi basi tu.
I wish Ukraine wangepewa silaha za masafa marefu, pangenoga sana, jamaa wanajituma kama sisimizi.
Kwa ambavyo wamemchosha Urusi ni dhahiri NATO wakitia guu pale, Urusi atafutika.
Globalfire
Una mental illnessHebu waza huyo Misri ambaye yeye na Iran ni wanyonge wa Israel, sasa huyo Misri anaizidi Ukraine kijeshi, hako ka-Ukraine kamemkaba supapawa anayesifiwa huku JF kila siku.
Ukraine anasaidiwa na NATO nzimaHoja ya msingi ilikuwa the fact kwamba Urusi inawashirika wengi mstari wa mbele
Ndiyo atabisha mtu KWa ushabiki tu ,ila Mrusi pamoja na roho mbaya ,ila binafsi nakubali jamaa wanauchumi vinginevyo angekua ameomba yaishe, yani nchi MOJA , haijalishi anaomba misaada wapi ya slaha ila ni muhimilivu Sana, na katika maisha inatupa funzo kwamba LAZIMA kupambana japo siwapendi Urusi na akili zao za ukatili, WENDA akashindwa katika vita hii, ila amejitahidi Sana mpaka Sasa,Urusi anapigana na NATO
Kwani umesikia Urusi anaugomvi na mtu. Yeye shida yake ni Ukraine (his brothers and sisters) hivyo atapambana nao kidogo kidogo. Leo tu kamgonga 40 missiles kulipiza tukio la kigaidi alilofanya juzi jmosi.Mwambieni Urusi aguse kataifa kama vile Latvia, ni kainchi jirani yake hapo na mwanachama wa NATO, ndio tuone show ya NATO akiifuta Urusi.
Wapumbavu ni wengi, Hii vita marekani asingeiweza, marekani alichezea kichapo kwa Vietnam.Ndiyo atabisha mtu KWa ushabiki tu ,ila Mrusi pamoja na roho mbaya ,ila binafsi nakubali jamaa wanauchumi vinginevyo angekua ameomba yaishe, yani nchi MOJA , haijalishi anaomba misaada wapi ya slaha ila ni muhimilivu Sana, na katika maisha inatupa funzo kwamba LAZIMA kupambana japo siwapendi Urusi na akili zao za ukatili, WENDA akashindwa katika vita hii, ila amejitahidi Sana mpaka Sasa,
Ni kweli vita ni hasara kubwa Sana anzia roho za watu na nyenzo nyingine ila putin ni kichwa japo ni fisadi, na LAZIMA iwe hivyo tokana na utajiri Mungu kalibari Taifa lao Kama hapa Tz japo kwetu tupo tupo tu,
Mkuu Israeli alikuwa tayari kashachezea, aliyemuokoa ni Marekani,Misri huyu huyu aliyepigwa na Israel?
Ukraine aingie hapo namba 2.Mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani mwaka 2020
Jarida la kimataifa la Firepower' ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , lilitoa orodha ya mataifa 138 pamoja nguvu walizo nazo.
Ripoti hiyo iliangalia idadi ya silaha, jeshi na rasilimali fedha ambazo nchi hizi hutumia katika operesheni za kijeshi.
1- Marekani
2- Urusi
3- China
4 India
5- Japan
6- Korea Kusini
7- Ufaransa
8- Uingereza
9- Misri
10- Brazil
11- Uturuki
12- Italia
13-Ujerumani
14-Iran
15- Pakistan
16- Indonesia
17- Saudi Arabia
18-Israel
19- Australia
20- Hispania
21- Poland
22- Vietnam
23- Thailand
24- Canada
25. Korea Kaskazini
BBC
Nyie si mnasema Ukraine ni dhaifu?Leo mmebadilika
Watu wa magharibi sio wazuri kamwe, kwanza niwepesi lalamika na wakati huo wanakujaza ujione unawakomesha kumbe ground Wana set mipango mikali, leo jeshi la Ukrain , sio la kitoto tena ,ila Ndo Hawa walimsifia Urus , kwamba Wana uwezo wa kumchakaza Ukrein for 2week , nao Urus wakaja na ya masaaa 72, Nato na washirika wake sio watu wazuri aisee, wanakula na kupuliza
Binafsi mkuu Mambo ya vita sijui,ila naangalia kinachoendelea , Uris binafsi simpendi ila pia sipendi vita kiujumla , lakini nasema Urusi mpaka Sasa amejitahidi,na hii yaonesha ni KWa namna GANI urus Kama nchi ipo vizuri kiuchumi ,maana endesha hii kitu for 9 months sio Jambo la mchezo, ila nakubali wataenda kuyumba ila wamehimili Sana aisee bila kujali kipi kinatokea katika uwanja wa kivitaWapumbavu ni wengi, Hii vita marekani asingeiweza, marekani alichezea kichapo kwa Vietnam.
Ni sawa na kusema Israeli alimpiga Egypt, wakati uhalisia ni marekani na Israeli walimpiga Egypt.
Unayemsifia saa hii anapumulia kwenye mashine!! Baada ya ukraine kujaribu kukishambulia kituo cha meli za kivita cha urusi huko crimea bila mafanikio kwa kutumia drones, urusi imechakaza makombora usiku wa kuamkia leo kwenye majimbo yote nchini ukraine!!! Ukraine iko kwenye giza! Zile mbwembwe za ujerumani kupeleka missile air defense haikufua kitu! Saa hii kila kona ni malalamiko kwenye ulimwengu wa nchi za magharibi.Mnaoishabikia Urusi muendelee kupata aibu, kataifa namba 22 kamezingua hadi basi tu.
I wish Ukraine wangepewa silaha za masafa marefu, pangenoga sana, jamaa wanajituma kama sisimizi.
Kwa ambavyo wamemchosha Urusi ni dhahiri NATO wakitia guu pale, Urusi atafutika.
Globalfire
Hayo majeshi ya NATO yapo ulingoni kwa kutumia silaha za Ukraine? Unaota wewe. Kama NATO wangekuwa ulingoni hapo basi mpaka sasa mambo yangekuwa negative zaidi kwa Russia.Mkuu kama unafatilia kweli hii vita unajua jeshi la Ukrain limeshafyekwa zamani. Waliobakia kwa sasa ni jeshi la NATO linalo tumia jina la Ukrainian army.
Tuchukulie mfano Somalia anapigana na Kenya lakini majeshi ya East afrika yote yanamsaidia Kenya na silaha juu. Jee hapa Somali anapigana na Kenya au East Afrika???