Kuwakumbushia tu, Ukraine ni namba 22 kwa uwezo wa kijeshi, hata Misri wanaifumua

Kuwakumbushia tu, Ukraine ni namba 22 kwa uwezo wa kijeshi, hata Misri wanaifumua

Kwani umesikia Urusi anaugomvi na mtu. Yeye shida yake ni Ukraine (his brothers and sisters) hivyo atapambana nao kidogo kidogo. Leo tu kamgonga 40 missiles kulipiza tukio la kigaidi alilofanya juzi jmosi.

Yeye hujifanya mbabe kwa vitaifa vidogo majirani zake, ila huwa makini sana hajawahi kugusa kataifa mwanachama wa NATO.
 
Unayemsifia saa hii anapumulia kwenye mashine!! Baada ya ukraine kujaribu kukishambulia kituo cha meli za kivita cha urusi huko crimea bila mafanikio kwa kutumia drones, urusi imechakaza makombora usiku wa kuamkia leo kwenye majimbo yote nchini ukraine!!! Ukraine iko kwenye giza! Zile mbwembwe za ujerumani kupeleka missile air defense haikufua kitu! Saa hii kila kona ni malalamiko kwenye ulimwengu wa nchi za magharibi.
Pitia hapa ujisomee mwenyewe!

Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine​

Some 40 incoming Russian missiles were detected, according to an official
Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine

FILE PHOTO. Power outages are seen in the center of Kiev on October 25, 2022. © Photo by Paula Bronstein / Getty Images
Officials in Ukraine reported Russian attacks on critical infrastructure on Monday, with one claiming that some 40 missiles had been detected in the air.
All Ukrainian regions sounded the alarm in the morning, with the media reporting explosions in several parts of the country, including the capital Kiev. Anton Gerashchenko, an aide to the interior minister, urged people to take cover in shelters, claiming on social media that “at the moment, there are already 40 [Russian] missiles” incoming at targets in the country.
Some hits have been confirmed by regional officials. Kiev Mayor Vitaly Klitschko reported that strikes on the capital had caused a partial blackout and disrupted the water supply. He said that due to damage to energy infrastructure, some 350,000 apartments were without power.
Kharkov Mayor Igor Terekhov, said there were two airstrikes, which targeted a “critical infrastructure site.” The city’s metro system also suspended work.

Sio kwamba alijaribu, ila alishambulia na kushusha meli tatu, yaani bonge la msala...
 
Umendika vizuri mkuu, binafsi siwezi kukupinga au kubali maana aya mambo WENDA wenye upeo mkubwa katika Mambo Magum Kama hii vita mnaelewa mwasema nini ,sie twatoa mtazamo wa wa juu juu tu, so msije tutukana ila tuelimishen tu, binafsi naomba vita ikome hata kesho
Wote tulitegemea Urusi ataifumua Ukraine kwa siku tano, hata hao Magharibi walikubali kumpa Zele hifadhi ila akagoma kutoka, akasema apewe silaha sio lift ya kutoroka nchi, kapambana kishujaa, kumbe Urusi wadude yao huwa ya maonyesho tu ila uhalsia on the ground hamna lolote.
 
Yeye hujifanya mbabe kwa vitaifa vidogo majirani zake, ila huwa makini sana hajawahi kugusa kataifa mwanachama wa NATO.
Marekani mwoga sana! Hajawahi kuvamia nchi bila mbeleko ya aidha Uingereza au Ufaransa!! Kibnaraka wake ukraine muda huu yuko kwenye giza baada ya uchokozi wake mpya kwewnye kituo cha meli za kivita za urusi huko crimea! Urusi imechakaza majimbo yote nchini ukraine na muda huu wanaugulia kipigo!! Ona hapa!

Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine​

Some 40 incoming Russian missiles were detected, according to an official
Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine

FILE PHOTO. Power outages are seen in the center of Kiev on October 25, 2022. © Photo by Paula Bronstein / Getty Images
Officials in Ukraine reported Russian attacks on critical infrastructure on Monday, with one claiming that some 40 missiles had been detected in the air.
All Ukrainian regions sounded the alarm in the morning, with the media reporting explosions in several parts of the country, including the capital Kiev. Anton Gerashchenko, an aide to the interior minister, urged people to take cover in shelters, claiming on social media that “at the moment, there are already 40 [Russian] missiles” incoming at targets in the country.
Some hits have been confirmed by regional officials. Kiev Mayor Vitaly Klitschko reported that strikes on the capital had caused a partial blackout and disrupted the water supply. He said that due to damage to energy infrastructure, some 350,000 apartments were without power.
Kharkov Mayor Igor Terekhov, said there were two airstrikes, which targeted a “critical infrastructure site.” The city’s metro system also suspended work.
 
Si ujerumani walipeleka air defense zao za kisasa kabisa wakijidai kuwa zina uwezo wa kulinda anga lote kwenye mji wa Kiev, kumbe hakuna kitu, usiku huu mji umeshambuliwa na wako kwenye giza totoro!! Air defense zote zilikuwa kwenye usingizi mzito!!

Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine​

Some 40 incoming Russian missiles were detected, according to an official
Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine

FILE PHOTO. Power outages are seen in the center of Kiev on October 25, 2022. © Photo by Paula Bronstein / Getty Images
Officials in Ukraine reported Russian attacks on critical infrastructure on Monday, with one claiming that some 40 missiles had been detected in the air.
All Ukrainian regions sounded the alarm in the morning, with the media reporting explosions in several parts of the country, including the capital Kiev. Anton Gerashchenko, an aide to the interior minister, urged people to take cover in shelters, claiming on social media that “at the moment, there are already 40 [Russian] missiles” incoming at targets in the country.
Some hits have been confirmed by regional officials. Kiev Mayor Vitaly Klitschko reported that strikes on the capital had caused a partial blackout and disrupted the water supply. He said that due to damage to energy infrastructure, some 350,000 apartments were without power.
Kharkov Mayor Igor Terekhov, said there were two airstrikes, which targeted a “critical infrastructure site.” The city’s metro system also suspended work.
 
Ukraine inatapeliwa tu na nchi za magharibi!! ukraine imefanywa kama uwanja wa majaribio wa silaha za NATO, na soko kubwa la silaha za nato kwa gharama ya damu na kodi ya wa-ukraine!! Ujue kila pesa anayopewa ukraine siyo bure bali ni mkopo wenye riba!! Ukraine inatia huruma na haina namna ya kuishinda Urusi!! Ilipoteza Crimea na sasa imepoteza majimbo manne yaliyojiunga na Urusi!! Na bado kuna vibweka humu vinajaribu kuisifia ukraine!
 
Yeye hujifanya mbabe kwa vitaifa vidogo majirani zake, ila huwa makini sana hajawahi kugusa kataifa mwanachama wa NATO.
Yaani mi sikuelewi unachotaka Urusi afanye. Mwambie Marekani na wenzie watupe jiwe North Korea kanchi kadogo sana aache kupiga vinchi vidogo.

Point yangu hakuna nchi inayotaka vita for the sake ya vita. Ila usalama wao unapohatarishwa vita huwa ni last resort. Sasa wewe unataka urusi tu iamke na kumpiga nchi isiyona sababu yeyote.

Kwa nini hao unaona wananguvu na wasiwe wa kwanza kutupa kombora Urusi (iliyochoka na isiyo na nguvu) waone majibu yake yatakuwaje.

Hakuna nchi inayotaka vita vya aina yeyote ile na mbaya zaidi hakuna nchi inayotaka vya na nchi zenye nyuklia
 
Ni kujitoa ufahamu tu kunakoweza kumfanya mtu aamini kuwa ukraine inaweza kuishinda Urusi!! Kwanza ni ukweli ulio wazi kuwa kama Ukraine isingekuwa inakopeshwa silaha na NATO muda huu ingekuwa ishasalimu amri siku nyingi!! Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kupingana na ukweli huu!!
 
Hayo majeshi ya NATO yapo ulingoni kwa kutumia silaha za Ukraine? Unaota wewe. Kama NATO wangekuwa ulingoni hapo basi mpaka sasa mambo yangekuwa negative zaidi kwa Russia.
Mkuu unamshambilia mwenzako bure tu, Kuna madude yanatumwa uko Ukrein sio mtu ameenda tu kule KWa mafunzo ya miezi 4,5,6, anaweza kuyaendesha mkuu, so mengine lazima yatue nchi husika ambao wameyafanyia majaribio KWa mda mrefu, Sasa akija nalo mtu mmoja au wawili TOKA nato ,je Nato inakua imehusika au la? Jibizana KWa fact na wakati huo mwatupa ilim mkuu
 
Hehehe haya madude huwa mnaaminishana wapi haswa, vijiweni au kwenye misikiti...
We jamaa majibu yako...dah!
Hata kama mtu ulikuwa na stress ni lazima zikate😅

Wewe mwenyewe unajua wazi Ukraine yuko juu ya mabega ya NATO ila umeamua tu kujitoa ufahamu.
 
Nipe jibu Russia anapigana na Ukrain au na NATO??
Ingekuwa anapigana na NATO, angelikuwa amezishambulia nchi wanachama, kwani hilo ni onyo la Putin, maana alisema, ole atakayeingilia!

Nachojua, urusi anapigana na Ukraine
 
Unayemsifia saa hii anapumulia kwenye mashine!! Baada ya ukraine kujaribu kukishambulia kituo cha meli za kivita cha urusi huko crimea bila mafanikio kwa kutumia drones, urusi imechakaza makombora usiku wa kuamkia leo kwenye majimbo yote nchini ukraine!!! Ukraine iko kwenye giza! Zile mbwembwe za ujerumani kupeleka missile air defense haikufua kitu! Saa hii kila kona ni malalamiko kwenye ulimwengu wa nchi za magharibi.
Pitia hapa ujisomee mwenyewe!
Mimi binafsi nafikiri lugha iliyotumika kuelelzea kilichotokea kweny meli za kivita za urusi imenishinda kutafsiri kwa usahihi; nilichoolewa ni kuwa baada ya mashambulizi ya Ukraine kwenye meli hizo Urusi wamelazimika kuzisongeza mbali zaidi ambako kunawatoa Urusi kwenye uwezo wa kufikisha mashambulizi kwenye Target, aidha imamlazimu Rusia kukiuka makubaliano ya kuruhusu usafirishaji wa grains kutoka Ukrain
 
Umendika vizuri mkuu, binafsi siwezi kukupinga au kubali maana aya mambo WENDA wenye upeo mkubwa katika Mambo Magum Kama hii vita mnaelewa mwasema nini ,sie twatoa mtazamo wa wa juu juu tu, so msije tutukana ila tuelimishen tu, binafsi naomba vita ikome hata kesho

Humu hakuna mwenye uelewa mkubwa, wote tunashuhudia ka pamoja mambo ambayo hatukukusudia, kwa mfano lile limsafara ya Urusi kwenda kufyeka Kyev, nilipoliona nikajua ndio basi kwaheri ya Zele na mji wake, ila leo bado jamaa yupo anaongoza nchi, hivi ni vita ambavyo vimeshangaza ulimwengu hata Marekani hawakutegemea Ukraine watajituma kihivi.
 
Marekani mwoga sana! Hajawahi kuvamia nchi bila mbeleko ya aidha Uingereza au Ufaransa!! Kibnaraka wake ukraine muda huu yuko kwenye giza baada ya uchokozi wake mpya kwewnye kituo cha meli za kivita za urusi huko crimea! Urusi imechakaza majimbo yote nchini ukraine na muda huu wanaugulia kipigo!! Ona hapa!

Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine​

Some 40 incoming Russian missiles were detected, according to an official
Airstrikes on critical infrastructure reported across Ukraine

FILE PHOTO. Power outages are seen in the center of Kiev on October 25, 2022. © Photo by Paula Bronstein / Getty Images
Officials in Ukraine reported Russian attacks on critical infrastructure on Monday, with one claiming that some 40 missiles had been detected in the air.
All Ukrainian regions sounded the alarm in the morning, with the media reporting explosions in several parts of the country, including the capital Kiev. Anton Gerashchenko, an aide to the interior minister, urged people to take cover in shelters, claiming on social media that “at the moment, there are already 40 [Russian] missiles” incoming at targets in the country.
Some hits have been confirmed by regional officials. Kiev Mayor Vitaly Klitschko reported that strikes on the capital had caused a partial blackout and disrupted the water supply. He said that due to damage to energy infrastructure, some 350,000 apartments were without power.
Kharkov Mayor Igor Terekhov, said there were two airstrikes, which targeted a “critical infrastructure site.” The city’s metro system also suspended work.

Hiyo Ukraine nilijua itafutwa ndani ya siku tano, leo bado mpo huku mnatupigia makelele.
 
Yaani mi sikuelewi unachotaka Urusi afanye. Mwambie Marekani na wenzie watupe jiwe North Korea kanchi kadogo sana aache kupiga vinchi vidogo.

Point yangu hakuna nchi inayotaka vita for the sake ya vita. Ila usalama wao unapohatarishwa vita huwa ni last resort. Sasa wewe unataka urusi tu iamke na kumpiga nchi isiyona sababu yeyote.

Kwa nini hao unaona wananguvu na wasiwe wa kwanza kutupa kombora Urusi (iliyochoka na isiyo na nguvu) waone majibu yake yatakuwaje.

Hakuna nchi inayotaka vita vya aina yeyote ile na mbaya zaidi hakuna nchi inayotaka vya na nchi zenye nyuklia

Hehehe sasa mnahamia Korea kaskazini, naona ushabiki wenu kwa Urusi unaendelea kuwa hoi.... Hao Korea Kaskazini waambieni wafanye ujinga wowote muone na huko mtahama sijui mtahamia wapi sasa.
 
We jamaa majibu yako...dah!
Hata kama mtu ulikuwa na stress ni lazima zikate😅

Wewe mwenyewe unajua wazi Ukraine yuko juu ya mabega ya NATO ila umeamua tu kujitoa ufahamu.

Siku NATO watapata sababu za kutia guu pale ndio itakua habari nyingine, Urusi kwa sasa amechoshwa mbaya mno na Ukraine kaaifa kadogo sana.
Kwa Ukraine kupewa silaha na NATO, zingepewa taifa lisilojua kujituma wangefyekwa kitambo, na kuna madude mengi tu hawajapewa...hizo HIMARS ni cha mtoto.
 
Mnaoishabikia Urusi muendelee kupata aibu, kataifa namba 22 kamezingua hadi basi tu.

I wish Ukraine wangepewa silaha za masafa marefu, pangenoga sana, jamaa wanajituma kama sisimizi.
Kwa ambavyo wamemchosha Urusi ni dhahiri NATO wakitia guu pale, Urusi atafutika.

Globalfire
Hivi afghanistan ni namba ngapi mkuu? Maana hata haikuwa na support lakini
 
Back
Top Bottom