mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kama kuna aibu kwa super power basi aibu kubwa ni kwa Marekani na NATO maana marekani ilivamia Afghanistan na kuikalia kwa miaka 20 lakini hawakuweza kuwashinda Taliban na mwisho wa siku walikimbia huku wakiacha lundo na silaha zao nyuma!! Sasa timu USA msijifanye hili hamulijui!Hii kweli aibu kwa super power.