Ahahahah yah ni jina la kijapan kweli
Lina historia kdogo ktk harakati zangu
Kipindi nipo skuli nilikuwa mpenzi sn wa muvi,siku moja nikakutana na muvi Kali sn starring allitwa Satoh Hiroshi,jamaa nilitokea kumkubali sn Hadi kwenye madaftari nikaandika Hilo jina badala ya jina langu halisi(utoto Raha Sana ),na wenzangu wakaanza kulizoea Hilo jina
Pia ndy ukawa mwanzo wa kujifundisha martial art..Kwa hiyo jamaa alini inspire sn ndy maana Hadi huku nimekuja na id ya Hilo jina..ni hivyo yani
OK..sawa mkuu.[emoji3516]
MKUU,
MIMI WATOTO WANGU MAJINA YAO NI;
1) CHITEMO,
2) MPEPO,
3) NGURUMO
NA MENGINE KAMA HAYO.
Mkuu, unalijua jina langu?Wewe ungekubali kuitwa NDUBWI?
usihamishe magoli
Yes..basi babaako nikajikuta ndy blidal maskBridal Mask?
Lee Kang-to aka Sato Hiroshi.
Kama jina odhiambo maana yako ni jioni...OOddhhiiahidhMajina ya Kiswahili na kikwetu mbona hujatoa mifano yake ?!
Pia anaweza kumuita , Furaha, Amani, Upendo, Pendo, zawadi n.kWewe c uncle wake muite "Tabu, Shida, Masumbuko na Sikujua au watoto wako wape haya ili ufurahi na roho yako
Pia anaweza kumuita , Furaha, Amani, Upendo, Pendo, zawadi n.kImagine mtoto wako unamwita Masumbuko...
Simple tuu ita mtoto Brightness,Britter,Brighton yaan mpaka raha kabisa
Huku mtaan jina la Jayden limeshamiri...hawajui lilitoholewa kutoka kwa jina la mama.. jada..Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Mkuu katika maisha tunayoishi, tumetofautiana , mawazo, mitazamo na fikra.. sio dhambi mtu kuwaza tofauti na wewe, au wewe kuwaza tofauti na mwingine.Wewe mfuasi wa shetani.majina yote ni ya dini kuu mbili.uislamu na ukristo.sasa uafrika wako upo wapi?wahindi wanaabudu ngombe,wachina wanaabudu jua.isitoshe kama unao watoto wape majina unayoyataka.mmoja mwite mavi,mwingine mkojo,Ngombe,Kondoo,pakan.k. Upo huru.Sasa nimeelewa kwa nini makampuni ya simu yalipandisha gharama za Internet.mijitu inaandika upuuzi tu.
Forest Hill ndio nini sasa? Kwanini usijiite Gumbo, au Matotola au Vindili nk?Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
RelHabari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Dunia imeshakuwa kijiji, utamaduni umebadilika sana, kuanzia vyakula mavazi, miziki tunayosikiliza. Sasa kwanini unahoji majina, mbona hiyo ni ishu ndogo tu kwenye mabadiliko ya tamaduni zetu? Moana ni bonge la jina, haujaona kina Megan, Chloe wa hapa Bongo?Habari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
havinitishi,mwanaasha,mwanamvua,mwanajua,mwananjaa,mwanakimbunga,msiba,mzugwa,mwakijambile,sumbuka..etcHabari salamu sio ndefu nimechefukwa mtoto wa dada yangu kapewa jina Moana, jina la kikatuni cha Disney nikapata maswali sana, kwanini hadi leo tunaendelea kushikilia majina ya wageni? Majina mazuri ya Kiswahili, lugha za asili yameisha au ndio tunayaona ya kizamani na hayafai kitu?
Kuna uhusiano gani kati ya kuwa Muislamu na kumpa mtoto jina la kiarabu? Au mkristo kumpa mtoto jina la Kizungu kama Frank, Aboubakar, Sameer, Chris, Dorice, Khadija
Kwanini sio majina ya kichina au kihindi? Labda dini ni kitu chema lakini isiondoe u-Afrika wetu. Tujitafakari.
Huyu jamaa ni mwanajeshi mstaafu
Yaani la Mwakatobe liwe baya kuliko la Abdillatif?acha utumwa wewe katika waislamu ni Ditopile mzuzuli tu ndio kakataa utumwa mashujaa ni akina Ambwene,Atupele,Ipyana,Lusajo nk hilo la mwakatobe ni la ukoo, weka akilini mwako usikurupuke.Naunga mkono hoja... Maaana hata uislam umesema tuwape watoto wetu majina mazuri... Ila haujasema tuwape ya kiarabu pekee imesema majina mazur tuh.. Afu kingine kila mzazi apangiwi jina we ukiwa na wanao waite utakavyo c hatutokupinga.... Ila majina ya kizaramo mabaya aisee mara sikujua,chausiku,shida,mwakatobe .....kwa hio sometimes ya kizungu na kiarabu ni bora
Huna jina la asili.Mkuu, unalijua jina langu?