Force account haimzuii engineer kuomba kazi,kuna tofauti ya engineer na mkandarasi,mkandarasi siyo engineer, force account inahitajika muombaji aoneshe veti vya chuo alicho Soma na uzoefu wa kujenga majengo ya serikali,fundi mangungo mfumo wa force account hauwezi ukampa kazi hana pesa kulipa vibarua kwa kuwa unafanya kazi Kama kutumia mkandarasi,yaani fundi anatakiwa atumie gharama zake kulipa vibarua kwa kila hatua ya ujenzi na anakaguliwa then ndio analipwa,ma engineer wanaweza kuomba kazi Ila watalipwa pesa ya ufundi tu,ambapo ni asilimia 25 ya gharama zote za ujenzi,