Kuwatumia "Mafundi" badala ya Wahandisi kwenye Ujenzi wa Vituo vya Afya na Shule ni dharau

Kuwatumia "Mafundi" badala ya Wahandisi kwenye Ujenzi wa Vituo vya Afya na Shule ni dharau

Hongera kwa kukusanya TOZO ya dhuluma, mnataka kujenga vituo vya Afya ambavyo "vilianza kujengwa" tangu enzi za JK....sina tatizo!

Tatizo langu ni lile sharti kwamba "Ujenzi" ufanywe na wale mafundi wetu a.k.a Fundi Maikoz kwa kisingizio cha kupunguza gharama.

Majengo ya serikali sio nyumba binafsi, yana standard zake, yana aina yake ya ujenzi kwa ajili ya kuruhusu vitu mbali mbali ikiwemo wakati was majanga.

Ujenzi huu huwezi kumpa Fundi Maiko akujengee, ujenzi sio kuweka cement na tofali na kuchukua kamba au "pima-maji" kuona kama ukuta umenyooka. Hivyo kwa hili sikubaliani kwanza na Kitu hiki.

Pili, tuna Vyuo Vikuu mbali mbali lakini tunacho Chuo Kikuu cha ARDHI ambacho kimezakisha Mainjinia wazuri (labda leo tuwakane). Hawa Vijana wetu, Kaka na Dada zetu wana kampuni za Ujenzi, wana taaluma husika, wanalipa kodi, wameajiri. Leo hutaki kuwatumia then at the same time unataka Makampuni yao yalipe Kodi na Wao waendelee kulipa mikopo ya Bodi ya Elimu. Fursa umewapa Fundis kwa kigezo cha "kurudisha" fedha kwenye jamii.... Kwani hao mafundi wanaishi wapi na Contractors wanaishi jamii IPI?

Hivi Fundi anaweza kulipa bima ikitokea tatizo? Anaweza kufidia/kurudia ujenzi akitokea kajenga chini ya kiwango?

Je, in sahihi Fundi awajabishwe/akaguliwe na Mwenyekiti wa Kijiji/Daktari/Mwalimu etc ambao hawapo kwenye fani husika??

Kuna faida kubwa ya kuwatumia Wakandarasi ambao tena wako registered kabisa na Board yao, wanatambulika kisheria, wanalipa kodi, wana quarantee ila pia ni nafasi ya kuonyesha ubora wa elimu yetu kuwa sio ya makaratasi.....

Kinyume na hio tutakua tunadharau sana Elimu ya Vyuo vyetu kwa kigezo cha kukwepa gharama!

Unaweza kusoma barua hio hapo na sababu zilizotolewa.

I stand to be corrected

Serikali inasomesha Wataalam, wanapata ujunzi na hata kuanzisha kampuni za ujenzi lakini Serikali inaona gharama kuwatumia au kuwapa kazi. Fani za Wataalam hao inaelekea si kwa mahitaji ya Fedha za Serikali labda Wanasomeshwa kwa mahitaji ya Sekta Binafsi na nje ya nchi. Inafika mahali fundi wa kawaida anamwajiri fundi msomi na kuanza kumsimamia kwa sababu yeye ndiye anayeingia Mkataba na Serikali.
 
M
Halmashauri zina wahandis hivyo watasimamia zoezi
Tuliwaona hao wahandisi wakitungua vilio wakionyeshwa jengo lililojengwa chini ya kiwango ohh Niko peke yangu majengo mengi siwezi kuwa site muda wote ohh nikiomba gari kunipeleka site nanyimwa nk jiandaeni kilio

Halafu Nani ataidhinisha kuwa Hilo jengo limejengwa viwango? Segregation of duties iko wapi? Kwa hiyo halmashauri ndio watakuwa architect,wahandisi na quantity surveyor wenyewe na waidhinisha malipo wenyewe Halmashauri? Kuna tatizo mwisho wa siku

Jengo la umma si Sawa na Nyumba yake binafsi Ummy Mwalimu ujenzi wake
 
Ulichokiandika ni sahihi kabisa.BUT ukumbuke serikali ni ya wote mkuu,kwa uelewa wangu wapo mafundi wazuri sana huko mitaani ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana hata kama zipo changamoto na risks mbalimbali kama ulivyosema lakini utakubaliana na me kuwa hata hao wakandalasi unaowapigia debe kuwatumia nao ni risk pia.Hapa najifunza serikali ku-take risk katika kugawana keki ya Taifa
Hongera kwa kukusanya TOZO ya dhuluma, mnataka kujenga vituo vya Afya ambavyo "vilianza kujengwa" tangu enzi za JK....sina tatizo!

Tatizo langu ni lile sharti kwamba "Ujenzi" ufanywe na wale mafundi wetu a.k.a Fundi Maikoz kwa kisingizio cha kupunguza gharama.

Majengo ya serikali sio nyumba binafsi, yana standard zake, yana aina yake ya ujenzi kwa ajili ya kuruhusu vitu mbali mbali ikiwemo wakati was majanga.

Ujenzi huu huwezi kumpa Fundi Maiko akujengee, ujenzi sio kuweka cement na tofali na kuchukua kamba au "pima-maji" kuona kama ukuta umenyooka. Hivyo kwa hili sikubaliani kwanza na Kitu hiki.

Pili, tuna Vyuo Vikuu mbali mbali lakini tunacho Chuo Kikuu cha ARDHI ambacho kimezakisha Mainjinia wazuri (labda leo tuwakane). Hawa Vijana wetu, Kaka na Dada zetu wana kampuni za Ujenzi, wana taaluma husika, wanalipa kodi, wameajiri. Leo hutaki kuwatumia then at the same time unataka Makampuni yao yalipe Kodi na Wao waendelee kulipa mikopo ya Bodi ya Elimu. Fursa umewapa Fundis kwa kigezo cha "kurudisha" fedha kwenye jamii.... Kwani hao mafundi wanaishi wapi na Contractors wanaishi jamii IPI?

Hivi Fundi anaweza kulipa bima ikitokea tatizo? Anaweza kufidia/kurudia ujenzi akitokea kajenga chini ya kiwango?

Je, in sahihi Fundi awajabishwe/akaguliwe na Mwenyekiti wa Kijiji/Daktari/Mwalimu etc ambao hawapo kwenye fani husika??

Kuna faida kubwa ya kuwatumia Wakandarasi ambao tena wako registered kabisa na Board yao, wanatambulika kisheria, wanalipa kodi, wana quarantee ila pia ni nafasi ya kuonyesha ubora wa elimu yetu kuwa sio ya makaratasi.....

Kinyume na hio tutakua tunadharau sana Elimu ya Vyuo vyetu kwa kigezo cha kukwepa gharama!

Unaweza kusoma barua hio hapo na sababu zilizotolewa.

I stand to be corrected

 
Ulichokiandika ni sahihi kabisa.BUT ukumbuke serikali ni ya wote mkuu,kwa uelewa wangu wapo mafundi wazuri sana huko mitaani ambao wanafanya kazi kwa weledi mkubwa sana hata kama zipo changamoto na risks mbalimbali kama ulivyosema lakini utakubaliana na me kuwa hata hao wakandalasi unaowapigia debe kuwatumia nao ni risk pia.Hapa najifunza serikali ku-take risk katika kugawana keki ya Taifa
Shukrani Kaka, sina tatizo ila ni kuweka "ulazima" ingeachwa ikawa huru, unaonaje?
 
M

Tuliwaona hao wahandisi wakitungua vilio wakionyeshwa jengo lililojengwa chini ya kiwango ohh Niko peke yangu majengo mengi siwezi kuwa site muda wote ohh nikiomba gari kunipeleka site nanyimwa nk jiandaeni kilio

Halafu Nani ataidhinisha kuwa Hilo jengo limejengwa viwango? Segregation of duties iko wapi? Kwa hiyo halmashauri ndio watakuwa architect,wahandisi na quantity surveyor wenyewe na waidhinisha malipo wenyewe Halmashauri? Kuna tatizo mwisho wa siku

Jengo la umma si Sawa na Nyumba yake binafsi Ummy Mwalimu ujenzi wake
Mpwaaaa
 
Sawa sikatai,utakubaliana na me kuwa uhuru unapotolewa then mwenye nguvu atapewa fursa na mnyonge ndo atapotezwa mazima.Ninasema hivyo kwasababu nipo huku mikoani na kupitia mpango huo wa serikali wa kuwatumia mafundi then watu wamefauru hata kufungua vimigahawa na kuanzisha hata ufugaji wa kuku na nguruwe,hali ilikuwa ngumu sana kwa mnyonge huku chini kupata cash hivi.Hii issue isikie tu kwenye redio mbao but nikuthibitishie mkuu hii hela imeenda kugusa maisha ya mtu aliyejikatia tamaa
Shukrani Kaka, sina tatizo ila ni kuweka "ulazima" ingeachwa ikawa huru, unaonaje?
 
Ujinga ambayo serikali wanalijua na hawataki kulisemea ni kua; ujenzi kwa kutumia force account inaumiza sana wasimamizi kutoka halmashauri kwani tenda ya vifaa vyote vya ujenzi zinachukuliwa na mabosi wao.

Wanapoleta vifaa vya chini ya kiwango wanalazimisha zipokelewe na zitumike mwisho wa mchezo ni wale wasimamizi ndiyo wanasimamishwa kazi na kupewa adhabu pale tatizo inapotokea.

Yetu macho
 
Hongera kwa kukusanya TOZO ya dhuluma, mnataka kujenga vituo vya Afya ambavyo "vilianza kujengwa" tangu enzi za JK....sina tatizo!

Tatizo langu ni lile sharti kwamba "Ujenzi" ufanywe na wale mafundi wetu a.k.a Fundi Maikoz kwa kisingizio cha kupunguza gharama.

Majengo ya serikali sio nyumba binafsi, yana standard zake, yana aina yake ya ujenzi kwa ajili ya kuruhusu vitu mbali mbali ikiwemo wakati was majanga.

Ujenzi huu huwezi kumpa Fundi Maiko akujengee, ujenzi sio kuweka cement na tofali na kuchukua kamba au "pima-maji" kuona kama ukuta umenyooka. Hivyo kwa hili sikubaliani kwanza na Kitu hiki.

Pili, tuna Vyuo Vikuu mbali mbali lakini tunacho Chuo Kikuu cha ARDHI ambacho kimezakisha Mainjinia wazuri (labda leo tuwakane). Hawa Vijana wetu, Kaka na Dada zetu wana kampuni za Ujenzi, wana taaluma husika, wanalipa kodi, wameajiri. Leo hutaki kuwatumia then at the same time unataka Makampuni yao yalipe Kodi na Wao waendelee kulipa mikopo ya Bodi ya Elimu. Fursa umewapa Fundis kwa kigezo cha "kurudisha" fedha kwenye jamii.... Kwani hao mafundi wanaishi wapi na Contractors wanaishi jamii IPI?

Hivi Fundi anaweza kulipa bima ikitokea tatizo? Anaweza kufidia/kurudia ujenzi akitokea kajenga chini ya kiwango?

Je, in sahihi Fundi awajabishwe/akaguliwe na Mwenyekiti wa Kijiji/Daktari/Mwalimu etc ambao hawapo kwenye fani husika??

Kuna faida kubwa ya kuwatumia Wakandarasi ambao tena wako registered kabisa na Board yao, wanatambulika kisheria, wanalipa kodi, wana quarantee ila pia ni nafasi ya kuonyesha ubora wa elimu yetu kuwa sio ya makaratasi.....

Kinyume na hio tutakua tunadharau sana Elimu ya Vyuo vyetu kwa kigezo cha kukwepa gharama!

Unaweza kusoma barua hio hapo na sababu zilizotolewa.

I stand to be corrected

Mbona simple tu, hao wenye kampuni nao waombe kama mafundi mchundo maana kinachobadilika hapo ni mfumo wa manunuzi tu.

Kutumika mkandarasi maana yake gharama za vifaa na ufundi ni juu yake, lakini force account maana yake vifaa vinanunuliwa yeye analipwa ya ujenzi kwa kusomamiwa na mhandisi wa Halmashauri ambaye amesoma hivyo vyuo ulivyotaja.

Sasa kwanini wengi wanaojiita wakandarasi huwa hawaombi kazi ya ufundi? Kwani wamekatazwa? Waombe wakiwa na reasonable price watachukuliwa.

Tuache kulalamika. Specifications za ujenzi ni zile zile hata utumie contractor au fundi mchundo bado ratio za cement, specifications za bati, mbao, Mchanga, kokoto, misumari, rangi etc ni zile zile kwa kutumia ramani husika.

Mfumo wa force account aliuhamasisha sana JPM kwa kuona unaokoa gharama na majengo yanakuwa kwenye standards. Lakini pia yapo majengo mengi tu yaliyojengwa na makandarasi na ni mabovu mno.
 
M

Tuliwaona hao wahandisi wakitungua vilio wakionyeshwa jengo lililojengwa chini ya kiwango ohh Niko peke yangu majengo mengi siwezi kuwa site muda wote ohh nikiomba gari kunipeleka site nanyimwa nk jiandaeni kilio

Halafu Nani ataidhinisha kuwa Hilo jengo limejengwa viwango? Segregation of duties iko wapi? Kwa hiyo halmashauri ndio watakuwa architect,wahandisi na quantity surveyor wenyewe na waidhinisha malipo wenyewe Halmashauri? Kuna tatizo mwisho wa siku

Jengo la umma si Sawa na Nyumba yake binafsi Ummy Mwalimu ujenzi wake
Mpwa umeongea kwa uchungu sana sana sana. Siku hizi unaongea points tupu
 
Back
Top Bottom