Kuwatumia vibaya Diamond na Ali Kiba kwenye siasa za Simba na Yanga ''kutaua" soka la Tanzania

Swadakta!!!!!!
 
sasa .ni wadogo hao mkuu?.bila.promo.bila.instagram bila.kiba bila.diamond? Usisahau pia.sasa hivi population ime. Double
Usi.kubalie na vtakwimu vyake vya kihuni. Yaani Kirumba uchukue watazamaji 17k na Nyamagana unachukua wangapi?
 
Wapi nimeandika Kirumba inachukua watu 8000!? Kirumba kujaza siyo issue maana hata lake Tanganyika Kigoma inajaza kwa mechi ya mashujaa tu na hakuna promo yoyote!
Msimamo wangu ni uleule, Mpira wetu umebadilika sana zama hizi tofauti na zamani.
 
Usi.kubalie na vtakwimu vyake vya kihuni. Yaani Kirumba uchukue watazamaji 17k na Nyamagana unachukua wangapi?
Tafuta taarifa kutoka vyanza unavyoviamini then uje kupinga. Kirumba inachukua watazamani waliokaa 17k tu.
 
Hawa viongozi wa Sasa wa Simba na Tanga wengi wapi Kwa kutafuta umaarufu na kufata maslahi ndio maana wanaweza kujitapa kuchukua mtu Toka Tanga au Simba bila kujali madhara yake baadae.
Kwa diamond ni wazi hakuwa mshabiki ila akienda kufata umaarufu lakini Ali Kina sio tu ni mshabiki lakini amecheza mpira mpaka Kuna kipindi alisajiliwa Coastal ingawa alicheza mechi Moja au mbili kiukweli hawezi kuhamia Simba Bali alifata maslahi.
Kitu kingine wasichoelewa ni wao ndio wanawapromoti wasanii na sio wasanii wanaopromoti vilabu Kwa sababu hakuna ukumbi wanaoweza kupiga wakajaza watu elfu 60
 
Wapi nimeandika Kirumba inachukua watu 8000!? Kirumba kujaza siyo issue maana hata lake Tanganyika Kigoma inajaza kwa mechi ya mashujaa tu na hakuna promo yoyote!
Msimamo wangu ni uleule, Mpira wetu umebadilika sana zama hizi tofauti na zamani.
Tatizo hawataki kukubali, hao ndio utasikia wanakuambia "mpira zamani bwana sio sasa" ila ukimuambia akutajie hiyo zamani tulipata mafanikio gani ataanza blah blah za kina Gagalino sijui matakataka gani huko...
 
Kadri miaka inavyozidi kwenda Tasnia ya Michezo na Burudani hapa Bongo inazidi kukosa wapenzi mashabiki.
Tupe ushahidi, mimi ninachojua kwa sasa mpira wetu umepata wapenzi wengi na umekuwa kuliko kipindi chochote kile tangu dunia imeumbwa.
 
Kwa majukwaa yapi? Labda kdg kwa sasa angalau, tena baada ya kujenga jukwaa kubwa lkn kwa zamani ilikuwa haiingizi hata 20k.
Zamani walikua hawauzi tiketi kwa idadi maalum, mpaka mechi inaendelea huku bado walikua wakiuza.
Kuna mechi moja ya derby nilijuta kupoteza muda wangu na pesa yangu na ukizingatia Chama langu lilifungwa, basi uchungu juu ya uchungu.
Walijaza watu mpaka kwenye tartan (sehemu inayotumiwa na wanariadha), kazi yangu ilikua kuhama kambi tu ili nione mpira lakini wapi unaona nusu kiwanja au pungufu ya hapo.
Na hapo tumewapa njagu kitu kidogo wakatutafutie tiketi, bila hivyo tungepata tiketi wakati mpira umeshaisha, na hilo foleni lake la kuingia uwanjani ni balaa.
 
Nakulikuwa hakuna cha promo wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…