Kuwe na mkakati maalumu wa kupunguza idadi ya Wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam

Kuwe na mkakati maalumu wa kupunguza idadi ya Wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
 
Nilisema population Tanzania ni ticking timebomb.

Tanzania ina average annual population increase ya 3%.

Na hapa hujaona kitu, population ya Dar inaenda ku double in the next 10 years.

Ila kuna watu ukiwaambia habari za uzazi wa mpango unagombana nao.

Wanasema Tanzania ni nchi kubwa inahitaji watu.
 
Nilisema population Tanzania ni ticking timebomb.

Tanzania ina average annual population increase ya 3%.

Na hapa hujaona kitu, population ya Dar inaenda ku double in the next 10 years.

Ila kuna watu ukiwaambia habari za uzazi wa mpango unagombana nao.

Wanasema Tanzania ni nchi kubwa inahitaji watu.
Pia kuna unequal population distribution. Watu wengu wamejaa Dar. Kwa mujibu wa sensa approximately 10% ya watanzania wanakaa Dar.
 
Serikali itekeleze baadhi ya mambo tunayoyasoma vyuoni kuna cozi tumesoma zinazungumzia namna ya kuwa na balansi kwenye idadi ya watu kwenye miji ya nchi husika sasa ukicheki hakuna balansi mfano jiji kama mbeya halina international school hata moja halina mall halina hotel ya nyota tano hospital ya mkoa unakuta ina ct scan machine mbili nazo hazifanyi kazi kwa hivi vitu baadhi vimefanya watu kadhaa waamua kujazana dar kufuata vitu hvyo sasa balance itatoka wapi

Jiji linalofuqtia baada ya dar lilitakiwa liwe na at least nusu ya idadi ya watu wa dar lkn sivyo
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.
Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.
Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.
Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.
Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.
Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Serikali Kila siku inataka jiji kama dar lizidi kukuwa na kufikia hatua ya watu kufanya biashara masaa 24....wewe unasema wapunguzwe Ili iweje watu waendlee kuongezeka jiji lizidi kukuwa na kutengeneza fursa Kwa watu
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.
Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.
Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.
Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.
Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.
Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Bwana Pesanyingi hama kweli walio wengi hawajui wanachokitaka! Andiko lako linasapoti JPM juhudi zake za kuondoa mlundikano wa watu Dar japo wewe kwa nyuzi zako ulikuwa unampinga!
1. Kuondoa serikali Dar na kuipeleka Dodoma
2. Kuondoa stand ya mabasi ubungo na kuipeleka mbezi
3. Kujenga SGR ili kuifungua Dar watu waje na kuondoka na pia fursa za Dar zihamie mikoani
4. Kupeleka vijijini na pembezoni sehemu zilizosahaulika umeme wa REA na kufanikiwa zaidi ya 90% ili watu wafurahie maisha huko vijijini na kijihusisha na shughuli za uzalishaji kuliko kukimbilia Dar
5. ..... na wewe ongezea

KWAHIYO JUHUDI ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WATU DAR ULIFANYIWA KAZI KIPINDI CHA JPM! Sasa sijui Bi kidawa sasa hivi yuko America ya kusini anatembeza bakuli!
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.
Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.
Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.
Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.
Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.
Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Mkoa wapwani wameutelekeza sana. Wangeweka miundo mbinu rafiki mkoa wa pwani na kuutanua kimakazi ingesaidia kupunguza nyomi la dar.
 
Mikoa kama Tanga, Tabora , Lindi na Mtwara , ina ardhi kubwa lkn serikali imeitelekeza, wenyeji wake wote wamejazana Dar.
Mkoa wa Tanga ukiangalia yale magofu ya viwanda unaweza ukalia.
Tanga na Mtwara zinasikitisha sana. Zina kila kitu mpaka bandari, lakini ujinga wetu tu ndiyo unazuia maendeleo.

Kuna nchi kama Rwanda hazina bandari zinatamani sana zingekuwa baharini lakini hazina uwezo huo.
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.
Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.
Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.
Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.
Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.
Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.
Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Huko mikoani kuna kibao kata kama dar slamu??
 
Back
Top Bottom