Kuwe na mkakati maalumu wa kupunguza idadi ya Wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam

Kuwe na mkakati maalumu wa kupunguza idadi ya Wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam

Sasa unataka kulinganisha Tanzania na China kweli?

Tanzania ambayo haina hata maandishi yake na China yenye civilization ya maelfu ya miaka?

Unaelewa hata kanuni za kulinganisha vitu?

Unaelewa kuwa kuna vitu havilinganishiki na ukivilinganisha unachekesha?
ifike mahali hospitali ya dodoma isogeze service kwako, kama sio unakaribia basi tayar kuna nati zmelegea kwenye hio kichwa
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Jiulize kwanini china, India, Marekani hakuna msongamano kama wa Kkoo? China ina watu zaidi ya 1.5bln, India zaidi 800mln, Marekani zaidi ya 200mln lkn ulishawahi kuona foleni barabarani au msongamano wa makazi? Tuliowapa mamlaka ndio wenye matatizo, usishangae hata hapo Dodoma baada ya miaka 30 barabara hazipitiki.
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Kumbe mnakuja kwenye rythim ya Magu.....alafu mnamtukana back to back
 
Na hiyo ingekuwa si tatizo kama watu wanaokuja Dar wangekuwa productive, kama kungekuwa kuna viwanda wanafanyia kazi, kama wangekuwa wamejiingiza katika digital/information economy wanafanya kazi kwenye mitandao na kuingiza fedha nchini.

Lakini, hata hao wanaokija Dar wengi wao ni Wamachinga na wabangaizaji tu.

Yani hata mtu akitaka kujiingiza kwenye uchumi wa mitandaoni, serikali imedhibiti hata njia za kumlipa ni tatizo. Watanzania inawabidi wawalipe Wakenya ili kutumia Paypal accounts za Kenya, wengine wanalipa as much as 30% ili kuweza kulipwa Paypal. Hii ni kodi inawafanya Wakenya wafaidi bila kufanya lolote.

Yani serikali si tu haisaidii wananchi kujijenga kiuchumi, hata pale wananchi wanapojiongeza wenyewe bila kusaidiwa na serikali, serikali inawazibia wasiendelee.
Umeongea jambo la msingi sana. Yani serekali yetu ni nzito mno ukipata online payment lazima ipitie Kenya!?
 
ifike mahali hospitali ya dodoma isogeze service kwako, kama sio unakaribia basi tayar kuna nati zmelegea kwenye hio kichwa
This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem attack is when someone does not address a point, but rather, attacks a person.

This is typically done by people who cannot argue the issues, because they have no point to argue.
 
Umeongea jamba la msingi sana. Yani serekali yetu ni nzito mno ukipata online payment lazima ipitie Kenya!?
Tanzania bado hairuhusu malipo ya Paypal.

Yani watu wa nje ya Tanzania wanataka kuwalipa Watanzania walio Tanzania hela mitandaoni, lakini wanashindwa.

Ukisema hutaki pesa iondoke Tanzania, labda unaweza kujenga hoja kuwa unazuia watu kutorosha hela nje ya Tanzania.

Lakini, unazuia hela kuingia Tanzania kwa nini? Yani unajizuia wewe mwenyewe kupata hela?

Ujinga gani huu?
 
This logical fallacy is called ad hominem.

An ad hominem attack is when someone does not address a point, but rather, attacks a person.

This is typically done by people who cannot argue the issues, because they have no point to argue.

when you argue with a stupid person you become stupid also
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Umri wako,jinsia yako?
Kinshasa wanakaribia milioni20
Tokyo unajua ina watu wangapi
 
Na hiyo ingekuwa si tatizo kama watu wanaokuja Dar wangekuwa productive, kama kungekuwa kuna viwanda wanafanyia kazi, kama wangekuwa wamejiingiza katika digital/information economy wanafanya kazi kwenye mitandao na kuingiza fedha nchini.

Lakini, hata hao wanaokija Dar wengi wao ni Wamachinga na wabangaizaji tu.

Yani hata mtu akitaka kujiingiza kwenye uchumi wa mitandaoni, serikali imedhibiti hata njia za kumlipa ni tatizo. Watanzania inawabidi wawalipe Wakenya ili kutumia Paypal accounts za Kenya, wengine wanalipa as much as 30% ili kuweza kulipwa Paypal. Hii ni kodi inawafanya Wakenya wafaidi bila kufanya lolote.

Yani serikali si tu haisaidii wananchi kujijenga kiuchumi, hata pale wananchi wanapojiongeza wenyewe bila kusaidiwa na serikali, serikali inawazibia wasiendelee.
Hii kitu huwa inanishangaza mkuu, ina maana hawaoni umuhimu wa paypal? Serikali imeziba vitu vingi sana ambavyo ni msaada sana kwa sasa
 
Kabisa watu dar wamerundikana kama nyasi porini.ndo maana jiji ni chafu mno na watu wake wengi ni choka mbaya ni mateja wa smart gin,energy na madawa ya kulevya yaani jiji l8nanuka uvundo wa majasho ya walala hoi
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Hii ni nchi huru, mtu anaweza kuishi kokote ili mradi anamudu gharama za eneo husika
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Dawasco waweke sumu, watapungua sana haraka.
 
Serikali Kila siku inataka jiji kama dar lizidi kukuwa na kufikia hatua ya watu kufanya biashara masaa 24....wewe unasema wapunguzwe Ili iweje watu waendlee kuongezeka jiji lizidi kukuwa na kutengeneza fursa Kwa watu
10% ya watz wapo Dar ila Dar ndio kamkoa kadogo sn yaan hakafikii hata robo ya Morogoro , ebu piga mahesabu hapo ndo uelew watu wanalenga nn , kutoka Bunju Hadi kongowe ni umbali wa masaa 2 kama hakuna foleni , hapo unakuwa umeikata dar nzima tayar kwa urefu na Kwa upana ni kutoka Kilivya hado posta ni lisaa limoja kama hakuna foleni hapo dar unakuwa umeikata Kwa lisaa tu pia kuanzia Chanika mpk kivukon ni lisaa na nusu hapo Dar unakuwa umeimaliza ila kuanzia Tanga kange Hadi Manga Korogwe ni safari ya masaa 5 hv hapo gari ikishika Kasi kwel kwel ila sehemu kubwa ya mkoa Haina miundo mbinu watanga wanaishia kwenda kujibana Dar ambayo ni sw na wilaya moja ya Tanga
 
Serikali kupitia mamlaka husika hasa mipango miji, ingepunguza au kuweka idadi kamili ya wakazi katika mkoa wa Dar es Salaam.

Dar es Salaam watu wamerundikana sehemu moja kuanzia makazi hadi vyombo vya usafiri.

Sasa kwa nia njema kwanini kusiwe na mpango wa ku zuwia ongezeko la idadi ya watu kuhamia Dar na badala yake wapelekwe maeneo mengine kwani nchi yetu ni kubwa kijografia.

Hii itasaidia hata wakati wa majanga iwe rahisi maeneo mengi kufikika kwaajili ya kutoa msaada kwa haraka na kuokoa maisha ya watu na mali zao.

Watu waende kama ni kwaajili ya shughuli za biashara na kuondoka na si kujenga makazi.

Wakazi wa Dar karibuni Tandaimba, Handeni, Kasulu, Biharamulo, Nachingwea, Newala, Same na maeneo mengine.

Maisha bila kukimbilia na kujazana Dar es Salaam yanawezekana.
Dah haijajaa wewe huku Vikawe tupo watu wawili tu
 
Hiyo Dar es salaam mnayoisema,hata katika miji yenye watu wengi katika eneo dogo (most populated density cities) afrika haimo,yaani haiingii kwa Kigali wala Lagos..basi tu ni mipango mibovu ya serikali yenu ..mfano walikuja na mpango wa kuanzisha miji inayojitegemea kandokando(satellite towns) mfano Luguluni na mapinga lakini imefia kwenye makaratasi,mji hauna adequate transportation system yaani kuingia na kutoka no adha
Unategemea nn?
 
Back
Top Bottom