BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Kweli kabisa.Tanga na Mtwara zinasikitisha sana. Zina kila kitu mpaka bandari, lakini ujinga wetu tu ndiyo unazuia maendeleo.
Kuna nchi kama Rwanda hazina bandari zinatamani sana zingekuwa baharini lakini hazina uwezo huo.
YAani haiingii akilini meli inatoka Asia na Ulaya, inavuka bandari ya Tanga inakuja kushusha mzigo Dar es salaam.
Viwanda vya katani wakua vyote, viwanda vya kusindika Maziwa wakaua vyote, Chungwa linaozea shambani muheza.
Africa na waafrica tunashida kubwa hata shetani asilaumiwe.