Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wanawake huwa wanatumia status kuchambana na show offf za kijingaHaya mambo YA status waachieni wanawake.
Si utu uzima ,Wala ushamba au chochote!Ni maamuzi tu. Mfano Mimi siweki kabisa status,kwa sababu naziona irrelevant,hazina maana.Hivyo tu.Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Memes ni nini?Kuna wale daily wanaweka status kama mataruma ya reli… sifungui unless uwe unawekaga memes.
Read r receipt inahusiana vipi na kuview status mkuu?kuna wale wa whatsapp GB wanaweza wakawa wanakuchora tu, halafu kuna wale wakuzima read receipt hawa nao wanaweza wakaview na usijue.
We sema tu kuwa hupendi kuweka status..!! Sasa usichokipenda usitutake tukusaidie kukichukia..!!Kuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Hujawahi ona mtu amekujibu status yako au amekoment kuhusu status yako LAKINI HAYUMO KWENYE WALIOINGALIA HIYO STATUS?Read r receipt inahusiana vipi na kuview status mkuu?
Ndiyo read receipt iyo?Hujawahi ona mtu amekujibu status yako au amekoment kuhusu status yako LAKINI HAYUMO KWENYE WALIOINGALIA HIYO STATUS?
Sio kuweka ila kuna wale wanaoweka kama mipasho na kuchamba watu, so hapo akili ndogo utaijua tuKuna kasumba naona imezidi kushamili kuwa mtu aliweka status kwenye simu ni mtu ambaye sio smart maana mwanaume au mwanamke mwenye heshima zake humkuti na mambo ayo ya status kwenye simu au kuwa online mara kwa mara au pia kuwepo kwenye magroup. Je, hili lina uhalisia wowote?
Ukiweka hiyo kitu, na kwenye ku-view status za watu hawatakuonaNdiyo read receipt iyo?
Kwamba mtu smart ni yule anaeweka mistari ya bibilia na picha za Yesu?Kupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi
1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp
2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo
3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena
Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake
Washamba hao.Namba moja sio kweli DP na smartness ya mtu wapi na wapi
Naomba nieleweshe nitajuaje mtu akiangalia status yanguKuna wale daily wanaweka status kama mataruma ya reli… sifungui unless uwe unawekaga memes.
Sio anatumia gb watsup ana view lakini wewe huoniKuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Sio anatumia gb watsup ana view lakini wewe huoni
😂😂Mwezi mmoja au miwili iliyopita ndio nimejua status Nini, Nilikua najua ndio profile pic.
Na watsup nimeanza kuitumia tangu enzi hizo za Nokia E72(Symbian).
Tumefanana akiliMimi siweki sana status, naweza kukaa hata miezi sita sijaweka, sio nataka kuonekana matured huwa naona tu uvivu, halafu huwa nahisi kama nikiweka najichoresha tu lakini za watu naangalia na kuzifurahia.