BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Kuna Prof mmoja (siri) aliwahi kuwa supervisor wangu enzi hizo za MA . Huyu Prof anaweka status mara kwa mara bila hofu. Wewe ni nani ujiite mshamba kisa kuweka status whatsapp?Huo ni ukale mcheki Mo dewji yupo active sana kwenye mitandao ya kijamii wanaosema hivo ni wale vijiba roho.