Kuweka kumbukumbu sawa kuhusu kutokumjali mke wangu na kumsababishia kuchepuka

Kuweka kumbukumbu sawa kuhusu kutokumjali mke wangu na kumsababishia kuchepuka

Mnatuchanganya, anaekula mkeo kasema mkeo mulishaachana, na wewe unasimulia as if bado anaishi kwako dah.

Mkuu sasa kama una pesa kwa nini mkeo achepuke? Au una kitambi?
Dada luckyline una akili mno na upo reasonable na upo Makini huyu jamaa anachanganya mafaili either ni kwa makusudi au lah cos huyo manzi Huu ni mwaka na nusu umepita yupo kwao na haishi na Mumewe na nimesikia jamaa anasema manzi ni mpole wakati huyu wa kwangu si mpole ni mchangamfu by nature kuna mambo mengi tu tunatofautiana kwenye story yake na ya kwangu
 
Kuchapiwa mke kunauma sana ni kweli but unaweza kuchukua maamuz mengine bora zaid kuliko hayo unayofikiria! Kumbuka kuna mkono wa sheria utakaokuyumbisha na huenda ukakuchania ramani zako zote 7bu tu ya mwanamke ambae kimsingi ndo tatizo hapo. Huyo jamaa kajazwa king tu mke wako kwa kumuelezea negative effect zako. Cha msingi kata hizo huduma unazotoa ili ale jeuri yake alafu muachie jamaa akomae nae aone itavouma kumgharamia mtu afu usikie analiwa nje! Malipo ni apa apa dunia, demu hawez kuacha asili yake najua ipo siku tu atakuja kumtandika uyo mgoni wako kama ulivotandikwa wew. Pole kaka mkubwa.
 
Dada luckyline una akili mno na upo reasonable na upo Makini huyu jamaa anachanganya mafaili either ni kwa makusudi au lah cos huyo manzi Huu ni mwaka na nusu umepita yupo kwao na haishi na Mumewe na nimesikia jamaa anasema manzi ni mpole wakati huyu wa kwangu si mpole ni mchangamfu by nature kuna mambo mengi tu tunatofautiana kwenye story yake na ya kwangu
Subiri wakati nakufilimba ndo utaelewa vizuri mseng.e wewe. Na utamuita huyo luckyline mwenye akili akusaidie kuhimili mabolo.
Nitakudaka tu, na nakuhakikishia nitakachokufanyia, utaomba ardhi ipasuke ikumeze. Nitakushughulikia huku nakuonyesha huu uzi.
Kwa heri.
 
Subiri wakati nakufilimba mfo utaelewa vizuri mseng.e wewe. Na utamuita huyo luckyline mwenye akili akusaidie kuhimili mabolo.
Nitakudaka tu, na nakuhakikishia nitakachokufanyia, utaomba ardhi ipasuke ikumeze. Nitakushughulikia huku nakuonyesha huu uzi.
Kwa heri.
Mnyooshe utupunguzie mapunga zeze humu
 
Huyo manzi umepita mwaka na nusu anaishi kwao na si kea Mumewe na pale walipokuwa wanakaa wakiwa kwenye ndoa yao kabla haijatokea hiyo migogoro huyo Mumewe kaweka mchepuko anaishi nae, ndugu zake huyo manzi hawamtaki jamaa kabisa kutokana na hivyo vitendo vyake na mimi nimekuwa na huyo manzi kipindi tayari wameshatengana
 
Dada luckyline una akili mno na upo reasonable na upo Makini huyu jamaa anachanganya mafaili either ni kwa makusudi au lah cos huyo manzi Huu ni mwaka na nusu umepita yupo kwao na haishi na Mumewe na nimesikia jamaa anasema manzi ni mpole wakati huyu wa kwangu si mpole ni mchangamfu by nature kuna mambo mengi tu tunatofautiana kwenye story yake na ya kwangu
Mtuhumuwa ushajileta hutaki kuisumbua mahakama embu nambie tuseme mambo aloyasema hapa ni kweli na huyo dada ni mke wake, tuseme ni kweli

1.Je umejipangaje na hilo tukio atakalokupiga?
2, je akikufanya kitu kibaya huoni tutakupoteza humu jf?
3. Je umechukua tahadhali asije kutafutia wahuni wakakuumiza?
4. Je unarufi usiku? Hiyo tabia umeacha.

Haya tuseme ni muongo?
1.Je una mpango gani na huyo mke? Utamuoa?

Mwenyewe umetueleza kuwa mchepuko wako mme wake alikuwa na.pesa mbaya vip wewe unazo maana usije lia machozi ya paka?
Embu nambie pole pole watu wasikusikie vip mchepuko wako alikuambia mme wake hakuwa akijiweza kitandani na ana kinjiti?
 
Huyo manzi umepita mwaka na nusu anaishi kwao na si kea Mumewe na pale walipokuwa wanakaa wakiwa kwenye ndoa yao kabla haijatokea hiyo migogoro huyo Mumewe kaweka mchepuko anaishi nae, ndugu zake huyo manzi hawamtaki jamaa kabisa kutokana na hivyo vitendo vyake na mimi nimekuwa na huyo manzi kipindi tayari wameshatengana
Haya maelezo yote ya nini,, mi sio hakimu wala Mungu wako usiwe unaniandikia comment ndefu hivi, maisha yako hayanihusu
 
Mtuhumuwa ushajileta hutaki kuisumbua mahakama embu nambie tuseme mambo aloyasema hapa ni kweli na huyo dada ni mke wake, tuseme ni kweli

1.Je umejipangaje na hilo tukio atakalokupiga?
2, je akikufanya kitu kibaya huoni tutakupoteza humu jf?
3. Je umechukua tahadhali asije kutafutia wahuni wakakuumiza?
4. Je unarufi usiku? Hiyo tabia umeacha.

Haya tuseme ni muongo?
1.Je una mpango gani na huyo mke? Utamuoa?

Mwenyewe umetueleza kuwa mchepuko wako mme wake alikuwa na.pesa mbaya vip wewe unazo maana usije lia machozi ya paka?
Embu nambie pole pole watu wasikusikie vip mchepuko wako alikuambia mme wake hakuwa akijiweza kitandani na ana kinjiti?
Yah aliniambia ajiwezi kwenye bed
 
Kabla sijaanza, tafadhali nawaomba sana moderators msiuhamishie huu uzi kwenye ule uzi wa member anaechepuka na mke wangu, nawaomba sana kwani nataka kuweka kumbukumbu sawa kwa watu wote humu.

Kuna member humu ndani ameanzisha uzi juu ya kuchepuka na mke wa mtu, na pia akatoa ushauri kwa wanaume waliooa. Uzi wake huu hapa Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza
Kwanza, namtaarifu jamaa kuwa huyo mwanamke ni nyoka sana na ni mbwa mwitu aliejivika ngozi ya kondoo. Hata mimi kabla ya kumuoa, alijivika upole na unyenyekevu wa ajabu hadi nikaingia kingi na kumuoa, akaivua rasmi ngozi ya ukondoo kwangu.
Amemdanganya vitu vingi ili kupata sympathy, ikiwepo ya kuwa nilimuoa akiwa bikra kitu ambacho si cha kweli.

Pia, huyo mwanamke ana tabia mbaya ni kama hajafundwa, mara nyingi tu narudi kutoka kwenye mihangaiko yangu namkuta nyumbani yuko na shoga zake chumbani kwetu wanasukana. Nimeshaongea sana kuhusu hiyo tabia, lakini kwa kiburi chake hataki kubadilika na anaona ni kawaida.

Hilo ni dogo, nimewahi kumfungulia biashara mara tatu na kumpa mtaji wa pesa za kutosha kwa ajili ya hizo biashara (jumla ya zaidi ya milioni 20) , lakini mara zote tatu hizo biashara zimekufa kifo cha mende miguu juu. Na bado ananilaumu tu, hana misingi ya biashara na hataki kujifunza.

Kitu kingine, amekwambia pia kuwa niliwahi kupigiwa simu na mwanaume usiku nikiwa nae, na mimi nikaipokea, na huyo mwanaume akadai kuwa ni mchumba wake kwa miaka mitatu na yeye hajui kuwa ameolewa? Muulize vizuri, au amekuhadithia makosa yangu tu ila chanzo chake hajakwambia?

Amekwambia pia jinsi ambavyo ninampatia pesa za matumizi kila mwezi, hizo ambazo wewe unamsaidia kuzitumbua, au hajakwambia zinatoka wapi?

Kila mwezi nampatia laki nane za matumizi, na hiyo ni nje ya mahitaji ya nyumbani ambayo nayatimiza kwa kuhakikisha vitu vyote vipo ndani. Na analalamika kuwa hazitoshi, nahisi baada ya wewe kuwa unamsaidia ndo kabisa, kutwa ananilalamikia nimuongezee ila ukiuliza nilizokupa zimetumikaje, ni ugomvi.

Pia, muulize vizuri chanzo cha ugomvi wake na mama yangu, sitazungumza hapa, ila muulize atakwambia. Nimeona niweke kumbukumbu tu sawa, ili likija kukupata la kukupata watu wasishangae.

Bwana mdogo, kwa sababu nimeshakutambua, subiri tu upate malipo yako, na kitakachokukuta uje kuhadithia pia humu.

Asante.

Unaweza pia kusoma>> Nimegundua kuna member humu anatembea na mke wangu, nitakachomfanya tusilaumiane
Usiongee sana ww nakwambiaje ukimdaba eeeh mpararue haswa muite DeepPond akusaidie
 
Kama ni kweli mkate huyo mkeo nyonyo na huyo mcheps wake mbupu...
 
Back
Top Bottom