Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

Ni mapenzi na matakwa ya mtu... hata wewe unaweza kuweka picha ya paka na ukasema... nakupenda sana pussy...
 
Kujiamin na kutambua unachokifanya kwa mwenzi wako
 
Hii mada tayari unawanyi haki yao kuongelea personal affair
Habari wana MMU.

Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.

Back to the Topic,..

Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c

Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?

Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?

Nawasilisha,..
Ukiona unashindwa kuwa huru na mpenzi wako jichunguze?
 
Ni defense mechanism, kuonyesha unaye umpendaye
 
yan apo ni kuchorana tu mtu km mm cwezi kujiamin kiivo
 
Hapana mkuu, mimi sina historia kuachwa bali nimewaacha wengi, kuna mpenzi wangu anapenda sana kuweka picha yangu kwenye Profile yake,.. Sijapata kujua umuhimu wa yeye kufanya hivyo huku akinilazimisha na mimi niweke ya kwake kwenye Profile yangu,. Bado sijamkubalia pamoja na yeye tayari ameshaweka ya kwangu kwake,.
Huyo mpenzi wako ushamuuluza kwann anakuweka kwa dp?
 
Hayo mapenzi ya kifilipino mwenzio sinaga kabsaaa, haya mambo ya kimagharibi yanatuharibu sana, mbona wazee wangu ndoa yao imetimiza miaka 40 bila DP wala Status?
Kama nampenda nampenda tu
 
Hili wala halina mjadala mpana kiasi hicho maana si rahisi kujua mawazo ya kila mtu anafanya hivyo kwa kusudi gani!
 
WATU WAKALI KAULIZA TU ILA KWA WASAP HASA MAGROUP NI MUHIMU KUWEKA MKUU kupunguza usumbufu na kuonyesha una muappreciate mwenzio wewe inaonekana kiwembe sana ko unaogopa umuweke nani
 
WATU WAKALI KAULIZA TU ILA KWA WASAP HASA MAGROUP NI MUHIMU KUWEKA MKUU kupunguza usumbufu na kuonyesha una muappreciate mwenzio wewe inaonekana kiwembe sana ko unaogopa umuweke nani
 
WATU WAKALI KAULIZA TU ILA KWA WASAP HASA MAGROUP NI MUHIMU KUWEKA MKUU kupunguza usumbufu na kuonyesha una muappreciate mwenzio wewe inaonekana kiwembe sana ko unaogopa umuweke nani
 
Na siku picha isipoonekana na kukawa na ujumbe fulani fulani...wenye akili hujua tayari kishalia...I mean Kibuyu.....
 
Alikwambia yupo single nn? Pole sana...nawewe mwekee ya wema umkomeshe.
 
Hapana mkuu, mimi sina historia kuachwa bali nimewaacha wengi, kuna mpenzi wangu anapenda sana kuweka picha yangu kwenye Profile yake,.. Sijapata kujua umuhimu wa yeye kufanya hivyo huku akinilazimisha na mimi niweke ya kwake kwenye Profile yangu,. Bado sijamkubalia pamoja na yeye tayari ameshaweka ya kwangu kwake,.
muulize ana maana gani kukuweka!
 
mara nyingi huweka kutoa taarifa,kulipiza kisasi mpenzi kwa alimwacha au kugombana nae,kuringishia na vitu kama hizo.vipi wamekuwekea jiwe la gizani likakupata.?
 
Back
Top Bottom