Kuweka picha ya profile tofauti na jinsia yako

Kuweka picha ya profile tofauti na jinsia yako

Man Rody

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2022
Posts
1,263
Reaction score
2,987
Habari za leo wadau...

Hivi kwann unakuta member wa kiume ila kaweka picha ya kike & vice versa. lengo haswa ni nn? Na picha nazozungumzia hapa ni zile za kutega kama kiuno chenye shanga au dem kajibinua.. Hivi wakikufata dm kukutongoza utaona ni dharau? Najua kuna wengine ni matapeli huku wako kazini ukijilengesha unaambiwa utume nauli na hela ya saloon 😁

Jibu common litalotoka hapa ni kwamba "kila mtu ana maisha yake imrad sivunji sheria usinipangie maisha."

Mnalionaje hili?
 
Habari za leo wadau...

Hivi kwann unakuta member wa kiume ila kaweka picha ya kike & vice versa. lengo haswa ni nn? Na picha nazozungumzia hapa ni zile za kutega kama kiuno chenye shanga au dem kajibinua.. Hivi wakikufata dm kukutongoza utaona ni dharau? Najua kuna wengine ni matapeli huku wako kazini ukijilengesha unaambiwa utume nauli na hela ya saloon [emoji16]

Jibu common litalotoka hapa ni kwamba "kila mtu ana maisha yake imrad sivunji sheria usinipangie maisha."

Mnalionaje hili?
Kwani mkuu ile nyimbo mpya ya dula makabila PITA HUKU ujaiona au kuisikia kuna kipande pale kuna mtu anaambiwa ''wee kwanza unalaana chumba chako kina mafuta kila konaaa, unapenda kwa mparange mtume hataki hata kukuona weee sho.sho..... pita huku"

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Kwani mkuu ile nyimbo mpya ya dula makabila PITA HUKU ujaiona au kuisikia kuna kipande pale kuna mtu anaambiwa ''wee kwanza unalaana chumba chako kina mafuta kila konaaa, unapenda kwa mparange mtume hataki hata kukuona weee sho.sho..... pita huku"

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Sisikilizi singeli nyimbo kichef chef 😂
 
Na ww kwanini uhadaike na picha za dp inamaana ww uko unako zulula hujawai ona wanawake wazuri zaid ya jf uku ukichungulia dp za watu mm nasema waendelee kuwatapel ase
 
Na ww kwanini uhadaike na picha za dp inamaana ww uko unako zulula hujawai ona wanawake wazuri zaid ya jf uku ukichungulia dp za watu mm nasema waendelee kuwatapel ase
sijahadaika wala sijawahi tapeliwa humu bahat nzuri, ila nafikisha hoja litazamwe
 
Back
Top Bottom