Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namla kwanini niache?Lakin unatumia hiyo kitu? Akija mwenye mahips wa hivo humnaniliu kweli?
Asante darling wangu na kwako piaHappy new year
😅😅😅😅poleWananifikirisha dume mbegu linaweka picha ya pisi kali kama yako apo 😂
Anaijua Nyonzo bin mvule ... njoo huku kaka pls 🔊Haya kwa mfano niambie jinsia ya cocastic
sijahadaika wala sijawahi tapeliwa humu bahat nzuri, ila nafikisha hoja litazamwe
Kweny vikoba na tiktok wanaweza kuruka ila kwenye mange app wamejazana kibaooo ni aibuSasa Mwanaume kajiunga kwenye vikoba na sim yake ina Tiktok na analipia App ya mange kimambi mtu Kama huyo kuweka picha ya mwanamke au kuvaa sketi itakua ajabu kweli kwake?
Ningeweka picha ya Mbappe je?👍
wanasema mara nying avatar inaendana na mtu mwenyewe, vp wee ni mfupi na unakula gambe kama mwamba pierre?