Ndo namaanisha natongoza sana humu au hiyo ni generalization tu? Sikulaumu ndo cpu yako imekokotoa mwisho hapo.
Nan wa kutumia hekima kati ya mimi na wewe, from nowhere unakuja kuni attack eti kisa naita watu mkuu, khaa... nan kakupa u monta kama darasan humu kwamba nitumie maneno haya mengine nisitumie, ukifika kua platnum member utatusumbua sana wee! Nilikujibu kama ulivokuja otherwise sina shida na wewe mkuu!
Na ntaendelea kukuita mkuu.
Mkuu, mukulu, mobimba, kiongozi.. chukua ushaur wako wa kutumia hekima uufanyie kaz.. wagombanao ndo wapatanao🤞